Pages

Showing posts with label fahamu. Show all posts
Showing posts with label fahamu. Show all posts

Wednesday, 4 January 2017

Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu!

“Simama kimya, uzifikiri [“uzizingatie,” “NW”] kazi za Mungu za ajabu.”—AYUBU 37:14.
1, 2. Ni uvumbuzi gani wa ajabu uliofanywa mwaka wa 1922, nao ulionwaje?
MWAKIOLOJIA mmoja na mheshimiwa mmoja Mwingereza walikuwa wameshirikiana kwa miaka mingi kutafuta hazina. Hatimaye, Novemba 26, 1922, katika makaburi ya mafarao wa Misri kwenye Bonde maarufu la Wafalme, mwakiolojia Howard Carter na Mheshimiwa Carnarvon walipata hazina hiyo—kaburi la Farao Tutankhamen. Walitoboa shimo kwenye mlango uliokuwa umezibwa kabisa kisha Carter akaingiza mshumaa na kuchungulia ndani.

Wednesday, 6 July 2016

WANASAYANSI WASHANGAZWA KUKUTA MAANDISHI YA AMRI KUMI ZA MUNGU KATIKA SAYARI YA MARS YAMEANDIKWA KWA LUGHA 7 TOFAUTI




wanasayansi wa anga za juu wa kampuni ya NASA ya Marekani wameshangazwa na kukuta maandiko ya amri kumi za Mungu na andiko la Yohana 3:16. 

wanasayansi hao waliingia kwenye pango moja kujalibu kutafuta maji na  kukuta maandiko hayo kwenye pango katika sayari ya Mars yakiwa yameandikwa kwenye mawe.
maandishi hayo yaliyoandikwa kawa  lugha 7 tofauti nazo ni English, Spanish, Chinese, Basque Hebrew na lugha yingine hazikutambulika.


wanasayansi hao wameshangwazwa na jambo hilo na kuwafanya wao waamini kuwa ni dini ya kikristo tu ndiyo ndini ya kweli kutoka kwa Mungu.


kati ya wanasayansi hao ambaye yeye ni muautralia na anafanya kazi NASA ambao wako huko tangu Agosti mwaka jana, wameshangaa maandiko hayo yamefikaje huko zaidi ya kuona kuwa kweli MUNGU yupo,


 wanasayansi hao wako huko kuchunguza sayari hiyo ili kuona kama kuna uwezekano wa binadamu kuishi huko jambo mpaka sasa inasemakana kuna uwezekano wa viumbe hai kuishi kuko kutokana na vitu vingi kushabihiana na huku Duniani.


source:martblog

yohana 3:16 BIBLIA inasema ''kwa maana jinsi MUNGU

aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Monday, 13 June 2016

VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI!

 Muunganiko wa makundi hayo umekuwa ukiingia mikataba mbalimbali ya kubadilishana teknolojia. Mfano ni ile teknolojia ya Aliens Software.

Visiwa vya ajabu duniani: Kisiwa kilichojaa nyoka



Ilha de Queimada Grande au "Kisiwa cha nyoka" kipo yapata maili 90 hivi kutoka kwenye jili la SĂŁo Paulo nchini Brazil.

Saturday, 29 August 2015

JE wajua kiumbe anayeishi mda mfupi kuliko wote duniani

Kiumbe Anayeishi Muda Mfupi Kuliko Wote Duniani anaitwa Nzi (Adult mayfly) ambaye anaishi siku 1 mpaka 3 tu
like page yetu kwa habari zaidi

Friday, 28 August 2015

Je Wajua Mnyama Mwenye Mdomo Mkubwa Kuliko Wote Duniani?

Mnyama Mwenye Mdomo Mkubwa Kuliko Wote Duniani ni Kiboko.
Kiboko ndiye mpaka sasa hivi anayeongoza duniani kwa kuwa na mdomo mkubwa. Pia anaongoza kwa kupanua mdomo anapopiga miayo. Mdomo wake unaweza kupanuka mpaka digrii 170 ambayo ni sawa na mstari ulionyooka ukipungua kwa digrii kumi (10) tu.

Je wajua treni iliyofishwa uku imesheheni dhahabu tangu vita ya pili ya dunia yapatikana?

 
Afisa mmoja wa serikali ya Poland, amesema kuwa ana imani kuwa treni moja ya kijeshi ambayo imefichwa tangu vita vya pili vya dunia, zaidi ya miaka sababini iliyopita, na kusemekana kubeba vitu vya dhamani, imepatikana, chini ya ardhi Kusini Magharibi mwa nchi hiyo.

VIUMBE HAWA 10 NDIVYO WANAOVUNJA REKODI DUNIANI.

DUMA.

Hakuna anayekimbia kwa kasi zaidi yake: duma wanaweza kufikia kasi ya hadi kilomita 120 kwa saa. Ni jambo linaloendana na mazowea yao ya kuwinda. Wanyama hao huwinda mchana, ambapo wanamnyemelea mnyama mwingine na kisha kukimbia kwa kasi na kumkamata kwa kushtukiza. Hata hivyo hawawezi kukimbia kwa muda mrefu na hivyo wasipomkamata swala baada ya mita kama mia moja wanakata tamaa.

VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI!

MPENZI msomaji ungana nami katika simulizi hii mpya ya kweli inayohusu viumbe wa ajabu waishio angani. Kama ni msomaji wa vitabu vitakatifu, Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Inahisiwa kuwa visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizizopita wameshatengenezewa filamu nyingi na wasanii mbalimbali duniani (tutazichambua huko mbele).
Aliens wapo wa rangi tofauti kama kijani, weupe, weusi, njano, zambarau na kila aina ya rangi.
Inaaminika kuwa Aliens wanaoishi angani wana akili nyingi kuliko binadamu. Wana mfumo wa kompyuta uitwao Alien Software na wapo juu kiteknolojia kuliko binadamu, tatizo tu hawavai nguo!

MAAJABU YA DUNIA NCHINI JAMAICA : MOTO UNAOWAKA WENYEWE KWENYE MAJI BILA KUZIMIKA.


Monday, 24 August 2015

UWANJA WA NDEGE HATARI ZAIDI KUTUA DUNIANI!

    Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Paro (IATA:PBH, ICAO:VQPR) ulio nchini Bhutan katika milima ya Himalayas,ndiyo uwanja unaofikiriwa kuwa uwanja hatari zaidi duniani kwa ndege kutua na kuruka. Uwanja huo,upo kilomita 6 hivi toka mji wa Paro kwenye bonde la ufa la mto Paro Chhu.
    Uwanja huo una barabara ya kurukia ndege na kutua (Runway 15/33) moja yenye urefu wa futi 6,445 (1,964 m) urefu ambao unalingana na viwanja vya mpira wa miguu 21 vyenye urefu wa mita 120 (393.6 ft),moja kati ya barabara za ndege kurukia na kutua fupi sana duniani. Una jengo moja la abiria lenye check-in counters 4,geti moja la kuingilia kwenye ndege na jengo la mizigo.

Mwezi (gimba la angani)


Chombo cha angani Galileo ilipiga picha hii ya Ardhi na mwezi

Sunday, 23 August 2015

Sakafu ya Bahari Siri Zake Zafunuliwa


TWAHITAJI kuelewa kindani kidogo jinsi ambavyo dunia imeumbwa ili tuweze kuelewa mambo yaliyoonwa na watafiti waliokuwa kwenye chombo cha Alvin. Yaaminika kuwa dunia yetu imefanyizwa na tabaka thabiti (linaloitwa lithosphere) linalokalia mwamba ulioyeyuka, unaosogea polepole. Kwa wazi, tabaka thabiti la nje lina kina cha takriban kilometa 100 nalo hufanyiza asilimia 0.6 hivi tu ya dunia yote. Tabaka la nje kabisa, si laini, ni nene mno chini ya mabara na jembamba kiasi cha kilometa sita chini ya safu ya milima iliyo katikati ya bahari.

Ulimwengu Uliojaa Maajabu

MIAKA 100 hivi iliyopita, wanasayansi waliamini kwamba ulimwengu mzima unapatikana katika kikundi chetu cha nyota cha Kilimia. Hata hivyo, kwa sababu ya maendeleo makubwa ya astronomia, fizikia, na tekinolojia katika karne ya 20 wanasayansi wamegundua ukubwa halisi wa ulimwengu. Baadhi ya mambo ambayo wamegundua yamewanyenyekeza. Kwa mfano, katika miaka ya hivi karibuni wataalamu wa kuchunguza nyota wamegundua kwamba hawajui kile kinachofanyiza zaidi ya asilimia 90 ya ulimwengu. Isitoshe, ugunduzi ambao umewafanya wafikie mkataa huo umewaacha wanasayansi wakijiuliza ikiwa kweli wanaelewa kanuni za msingi za fizikia. Maswali kama hayo si mageni.

Friday, 21 August 2015

Viumbe Hatari Kabisa Duniani, Anayeshika Namba Moja Ni Mbu!



Simba, Nyati, Faru, Chatu....haya ndiyo majina ya wanyama yanayoweza kukujia akilini pindi ukiulizwa MNYAMA YUPI NI HATARI ZAIDI KWA MWANADAMU. Well, amini usiamini, kiumbe hatari zaidi ni mdogo mara elfu kadhaa akilinganishwa kiumbo na hao majabali tunaowafahamu. Na udogo wake si katika umbile pekee bali pia hata sauti yake ni ndogo kulinganisha na mbwa, paka au mbuzi, achilia mbali wababe kama Simba, Chui au Faru. Kiumbe huyo hatari wa kuogopwa kwa gharama yoyote ile ni MBU.

Viumbe wa ajabu wa baharini








WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu.
Ndio maana kila kukicha unajitokeza ugunduzi mwingine mpya ambao mara nyingi unawaacha watafiti vinywa wazi lakini baadaye unatoa mwanga wa masuala kadhaa waliyokuwa hawayaelewi awali.
Mathalani, tunafahamu visa kadhaa vya watoto kuzaliwa wakiwa wameungana. Lakini hivi karibuni watafiti wa huko Mexico walimgundua nyangumi wa kijivu walioungana.

Saturday, 4 July 2015

KUTANA NA BASI LA 'MAAJABU' DUNIANI...


Hili ni basi la maajabu liitwalo 'COOL AMPHIBIOUS' ambalo linaweza kutembea Ardhini na pia Majini. Basi hili lina tengenezwa na Kampuni Cool Amphibious Manufactures

Saturday, 27 June 2015

VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI! - 8

 
INASEMEKANA kuwa wanasayansi wa Kimarekani wameshatuma vyombo vya anga karibu kila sayari katika mfumo wetu wa sayari ili tu kutafuta namna ya kudhibiti nguvu ya UFO na hawa aliens ambao wametawala anga.
Baada ya kuzichunguza hizi sayari, wakaamua kuzifutilia mbali ila tu sayari ya Mars na pengine kwa kuwa wapo wanaoamini kuna uwezekano wa binadamu au viumbe wengine kuweza kuishi.

Wednesday, 17 June 2015

MWANAANGA WA KWANZA AFRIKA KWENDA MWEZINI ATOA SEMINA KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI DAR.


 Meneja Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi akizungumza na wanafunzi wa shule mbalimbali za Sekondari za jijini Dar  kuhusiana na shindano kubwa lililoshirikisha wanafunzi kutoka nchi zote za Afrika la kuandika Insha na kuchora picha kuhusiana na mambo ya Anga linaloitwa DStv EUTELSAT STAR AWARDS ambapo mshindi wake atapata nafasi ya kwenda Paris nchini Ufaransa na wazazi wake kushuhudia namna safari ya kwenda mwezini inavyofanyika kabla ya kumkaribisha Mwanaanga wa Kwanza Afrika Kwenda mwezini Patrick Baudry ambaye atazungumza nao kuhusiana na uzoefu wake kuhusiana na masuala ya Anga.
Barbara amesema kwamba mshindi wa shindano hilolililodhaminiwa na Dstv atatangazwa  hapo kesho katika hafla maalum ya chakula cha jioni itakayofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro.

Saturday, 9 May 2015

MATUKIO YA ANGANI KWA MWAKA 2013


Miongoni mwa matukio makubwa yanayotegemewa mwaka huu ni kupatwa kwa Jua na kupatwa kwa Mwezi, pamoja na uwezekano wa kuonekana kwa kimondo kikubwa.  Mwaka huu, sayari mbali mbali zilizo jirani yetu zitaendelea kujitokeza katika anga nyakati za usiku hapa Tanzania.  Pamoja na yote, anga letu la kujivunia litaendelea kun’gaa kwa nyota za kusisimua.
Tukio linalo subiriwa kwa hamu kubwa   ni lile la kupatwa kamili kwa Jua siku ya Jumapili, tarehe 3 Novemba 2013, litakalotokea jirani na nchi yetu.  Kivuli cha Mwezi kitatua Duniani kuanzia Bahari ya Atlantiki na kuingia Afrika pale Gabon.  Baada ya hapo kivuli kitapita kaskazini mwa Uganda na Kenya saa za jioni na kuishia kusini mwa Ethiopia wakati wa magharibi. Mahali muafaka zaidi pakuangalia Jua likizibwa kabisa na kusababisha giza kabisa ni kaskazini mwa Kenya, karibu na Ziwa Turkana, ambako kupatwa kamili kutatokea saa 11:25 jioni kwa muda wa sekunde 14 tu.  Hapa Tanzania tupo kusini kidogo tu ya sehemu ambako Jua litapatwa kamilifu.  Kwa hiyo siku hiyo ya Novemba 3, sisi tutashudia kupatwa kwa sehemu ya Jua hadi kufikia asilimia 70%. 
Mwaka huu, Jua litapatwa pia tarehe 10 Mei, lakini hatutaona nchini Tanzania kwa vile tukio litatokea upande wa pili wa Dunia katika Bahari ya Pasifiki.
 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets