Pages

Monday, 24 August 2015

UWANJA WA NDEGE HATARI ZAIDI KUTUA DUNIANI!

    Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Paro (IATA:PBH, ICAO:VQPR) ulio nchini Bhutan katika milima ya Himalayas,ndiyo uwanja unaofikiriwa kuwa uwanja hatari zaidi duniani kwa ndege kutua na kuruka. Uwanja huo,upo kilomita 6 hivi toka mji wa Paro kwenye bonde la ufa la mto Paro Chhu.
    Uwanja huo una barabara ya kurukia ndege na kutua (Runway 15/33) moja yenye urefu wa futi 6,445 (1,964 m) urefu ambao unalingana na viwanja vya mpira wa miguu 21 vyenye urefu wa mita 120 (393.6 ft),moja kati ya barabara za ndege kurukia na kutua fupi sana duniani. Una jengo moja la abiria lenye check-in counters 4,geti moja la kuingilia kwenye ndege na jengo la mizigo.

Mwezi (gimba la angani)


Chombo cha angani Galileo ilipiga picha hii ya Ardhi na mwezi

Sunday, 23 August 2015

Sakafu ya Bahari Siri Zake Zafunuliwa


TWAHITAJI kuelewa kindani kidogo jinsi ambavyo dunia imeumbwa ili tuweze kuelewa mambo yaliyoonwa na watafiti waliokuwa kwenye chombo cha Alvin. Yaaminika kuwa dunia yetu imefanyizwa na tabaka thabiti (linaloitwa lithosphere) linalokalia mwamba ulioyeyuka, unaosogea polepole. Kwa wazi, tabaka thabiti la nje lina kina cha takriban kilometa 100 nalo hufanyiza asilimia 0.6 hivi tu ya dunia yote. Tabaka la nje kabisa, si laini, ni nene mno chini ya mabara na jembamba kiasi cha kilometa sita chini ya safu ya milima iliyo katikati ya bahari.

Ulimwengu Uliojaa Maajabu

MIAKA 100 hivi iliyopita, wanasayansi waliamini kwamba ulimwengu mzima unapatikana katika kikundi chetu cha nyota cha Kilimia. Hata hivyo, kwa sababu ya maendeleo makubwa ya astronomia, fizikia, na tekinolojia katika karne ya 20 wanasayansi wamegundua ukubwa halisi wa ulimwengu. Baadhi ya mambo ambayo wamegundua yamewanyenyekeza. Kwa mfano, katika miaka ya hivi karibuni wataalamu wa kuchunguza nyota wamegundua kwamba hawajui kile kinachofanyiza zaidi ya asilimia 90 ya ulimwengu. Isitoshe, ugunduzi ambao umewafanya wafikie mkataa huo umewaacha wanasayansi wakijiuliza ikiwa kweli wanaelewa kanuni za msingi za fizikia. Maswali kama hayo si mageni.

Friday, 21 August 2015

Viumbe Hatari Kabisa Duniani, Anayeshika Namba Moja Ni Mbu!



Simba, Nyati, Faru, Chatu....haya ndiyo majina ya wanyama yanayoweza kukujia akilini pindi ukiulizwa MNYAMA YUPI NI HATARI ZAIDI KWA MWANADAMU. Well, amini usiamini, kiumbe hatari zaidi ni mdogo mara elfu kadhaa akilinganishwa kiumbo na hao majabali tunaowafahamu. Na udogo wake si katika umbile pekee bali pia hata sauti yake ni ndogo kulinganisha na mbwa, paka au mbuzi, achilia mbali wababe kama Simba, Chui au Faru. Kiumbe huyo hatari wa kuogopwa kwa gharama yoyote ile ni MBU.

Viumbe wa ajabu wa baharini








WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu.
Ndio maana kila kukicha unajitokeza ugunduzi mwingine mpya ambao mara nyingi unawaacha watafiti vinywa wazi lakini baadaye unatoa mwanga wa masuala kadhaa waliyokuwa hawayaelewi awali.
Mathalani, tunafahamu visa kadhaa vya watoto kuzaliwa wakiwa wameungana. Lakini hivi karibuni watafiti wa huko Mexico walimgundua nyangumi wa kijivu walioungana.

Wednesday, 8 July 2015

Picha: Vituko vya wiki hii kutoka WhatsApp

Ulifikiri sitakuona, nina mtambo kisasa hapa na huwa sijui neno ndio msamiati gani...
Kweli pombe haina adabu...
Kweli pombe haina adabu…
Most Wanted…na mke wake lakini kwahiyo totoz wote mumuone kama ukoma…

Saturday, 4 July 2015

KUTANA NA BASI LA 'MAAJABU' DUNIANI...


Hili ni basi la maajabu liitwalo 'COOL AMPHIBIOUS' ambalo linaweza kutembea Ardhini na pia Majini. Basi hili lina tengenezwa na Kampuni Cool Amphibious Manufactures
 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets