Pages

Wednesday 6 July 2016

WANASAYANSI WASHANGAZWA KUKUTA MAANDISHI YA AMRI KUMI ZA MUNGU KATIKA SAYARI YA MARS YAMEANDIKWA KWA LUGHA 7 TOFAUTI




wanasayansi wa anga za juu wa kampuni ya NASA ya Marekani wameshangazwa na kukuta maandiko ya amri kumi za Mungu na andiko la Yohana 3:16. 

wanasayansi hao waliingia kwenye pango moja kujalibu kutafuta maji na  kukuta maandiko hayo kwenye pango katika sayari ya Mars yakiwa yameandikwa kwenye mawe.
maandishi hayo yaliyoandikwa kawa  lugha 7 tofauti nazo ni English, Spanish, Chinese, Basque Hebrew na lugha yingine hazikutambulika.


wanasayansi hao wameshangwazwa na jambo hilo na kuwafanya wao waamini kuwa ni dini ya kikristo tu ndiyo ndini ya kweli kutoka kwa Mungu.


kati ya wanasayansi hao ambaye yeye ni muautralia na anafanya kazi NASA ambao wako huko tangu Agosti mwaka jana, wameshangaa maandiko hayo yamefikaje huko zaidi ya kuona kuwa kweli MUNGU yupo,


 wanasayansi hao wako huko kuchunguza sayari hiyo ili kuona kama kuna uwezekano wa binadamu kuishi huko jambo mpaka sasa inasemakana kuna uwezekano wa viumbe hai kuishi kuko kutokana na vitu vingi kushabihiana na huku Duniani.


source:martblog

yohana 3:16 BIBLIA inasema ''kwa maana jinsi MUNGU

aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets