Pages

Wednesday 4 January 2017

Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu!

“Simama kimya, uzifikiri [“uzizingatie,” “NW”] kazi za Mungu za ajabu.”—AYUBU 37:14.
1, 2. Ni uvumbuzi gani wa ajabu uliofanywa mwaka wa 1922, nao ulionwaje?
MWAKIOLOJIA mmoja na mheshimiwa mmoja Mwingereza walikuwa wameshirikiana kwa miaka mingi kutafuta hazina. Hatimaye, Novemba 26, 1922, katika makaburi ya mafarao wa Misri kwenye Bonde maarufu la Wafalme, mwakiolojia Howard Carter na Mheshimiwa Carnarvon walipata hazina hiyo—kaburi la Farao Tutankhamen. Walitoboa shimo kwenye mlango uliokuwa umezibwa kabisa kisha Carter akaingiza mshumaa na kuchungulia ndani.

Wednesday 6 July 2016

WANASAYANSI WASHANGAZWA KUKUTA MAANDISHI YA AMRI KUMI ZA MUNGU KATIKA SAYARI YA MARS YAMEANDIKWA KWA LUGHA 7 TOFAUTI




wanasayansi wa anga za juu wa kampuni ya NASA ya Marekani wameshangazwa na kukuta maandiko ya amri kumi za Mungu na andiko la Yohana 3:16. 

wanasayansi hao waliingia kwenye pango moja kujalibu kutafuta maji na  kukuta maandiko hayo kwenye pango katika sayari ya Mars yakiwa yameandikwa kwenye mawe.
maandishi hayo yaliyoandikwa kawa  lugha 7 tofauti nazo ni English, Spanish, Chinese, Basque Hebrew na lugha yingine hazikutambulika.


wanasayansi hao wameshangwazwa na jambo hilo na kuwafanya wao waamini kuwa ni dini ya kikristo tu ndiyo ndini ya kweli kutoka kwa Mungu.


kati ya wanasayansi hao ambaye yeye ni muautralia na anafanya kazi NASA ambao wako huko tangu Agosti mwaka jana, wameshangaa maandiko hayo yamefikaje huko zaidi ya kuona kuwa kweli MUNGU yupo,


 wanasayansi hao wako huko kuchunguza sayari hiyo ili kuona kama kuna uwezekano wa binadamu kuishi huko jambo mpaka sasa inasemakana kuna uwezekano wa viumbe hai kuishi kuko kutokana na vitu vingi kushabihiana na huku Duniani.


source:martblog

yohana 3:16 BIBLIA inasema ''kwa maana jinsi MUNGU

aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Monday 13 June 2016

VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI!

 Muunganiko wa makundi hayo umekuwa ukiingia mikataba mbalimbali ya kubadilishana teknolojia. Mfano ni ile teknolojia ya Aliens Software.

Visiwa vya ajabu duniani: Kisiwa kilichojaa nyoka



Ilha de Queimada Grande au "Kisiwa cha nyoka" kipo yapata maili 90 hivi kutoka kwenye jili la São Paulo nchini Brazil.

Sunday 24 January 2016

Picha: Vituko vya whatsapp wiki hii

Wito kwa wizara ya elimu kuchunguza majina ya shule…
Lzzima majiani wapate maradhi ya Tinitus.
Lzzima majiani wapate maradhi ya Tinitus.

Saturday 29 August 2015

JE wajua kiumbe anayeishi mda mfupi kuliko wote duniani

Kiumbe Anayeishi Muda Mfupi Kuliko Wote Duniani anaitwa Nzi (Adult mayfly) ambaye anaishi siku 1 mpaka 3 tu
like page yetu kwa habari zaidi

Friday 28 August 2015

Je Wajua Mnyama Mwenye Mdomo Mkubwa Kuliko Wote Duniani?

Mnyama Mwenye Mdomo Mkubwa Kuliko Wote Duniani ni Kiboko.
Kiboko ndiye mpaka sasa hivi anayeongoza duniani kwa kuwa na mdomo mkubwa. Pia anaongoza kwa kupanua mdomo anapopiga miayo. Mdomo wake unaweza kupanuka mpaka digrii 170 ambayo ni sawa na mstari ulionyooka ukipungua kwa digrii kumi (10) tu.

Je wajua treni iliyofishwa uku imesheheni dhahabu tangu vita ya pili ya dunia yapatikana?

 
Afisa mmoja wa serikali ya Poland, amesema kuwa ana imani kuwa treni moja ya kijeshi ambayo imefichwa tangu vita vya pili vya dunia, zaidi ya miaka sababini iliyopita, na kusemekana kubeba vitu vya dhamani, imepatikana, chini ya ardhi Kusini Magharibi mwa nchi hiyo.

VIUMBE HAWA 10 NDIVYO WANAOVUNJA REKODI DUNIANI.

DUMA.

Hakuna anayekimbia kwa kasi zaidi yake: duma wanaweza kufikia kasi ya hadi kilomita 120 kwa saa. Ni jambo linaloendana na mazowea yao ya kuwinda. Wanyama hao huwinda mchana, ambapo wanamnyemelea mnyama mwingine na kisha kukimbia kwa kasi na kumkamata kwa kushtukiza. Hata hivyo hawawezi kukimbia kwa muda mrefu na hivyo wasipomkamata swala baada ya mita kama mia moja wanakata tamaa.

VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI!

MPENZI msomaji ungana nami katika simulizi hii mpya ya kweli inayohusu viumbe wa ajabu waishio angani. Kama ni msomaji wa vitabu vitakatifu, Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Inahisiwa kuwa visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizizopita wameshatengenezewa filamu nyingi na wasanii mbalimbali duniani (tutazichambua huko mbele).
Aliens wapo wa rangi tofauti kama kijani, weupe, weusi, njano, zambarau na kila aina ya rangi.
Inaaminika kuwa Aliens wanaoishi angani wana akili nyingi kuliko binadamu. Wana mfumo wa kompyuta uitwao Alien Software na wapo juu kiteknolojia kuliko binadamu, tatizo tu hawavai nguo!
 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets