Pages

Monday 25 August 2014

KAMA UMEMISS MATUKIO YA ARUSHA LEO PICHA HIZI CHACHE KWAAJILI YAKO

Tata Wazindua Gari la Bei Rahisi Kuliko Yote Duniani



NewsImages/1502878.jpg
Tata Nano
Monday, March 23, 2009 5:52 AM
Shirika la kutengeneza magari la Tata Motors la India linatarajia kuzindua gari lake jipya litakalouzwa kwa bei rahisi kuliko magari yote duniani likiwa na uwezo wa kubeba watu watano.
Tata Motors wanategemea kuzindua gari lao jipya litakaloenda kwa jina la Nano lenye urefu wa mita tatu na lenye uwezo wa kubeba watu watano.

Nano litazinduliwa jijini Mumbai leo jumatatu likiwa tayari kwa wateja watakaoweza kutoa dola 1,979 sawa na takribani shilingi za Tanzania milioni mbili na nusu.

Shirika la Tata lilisema kuwa gari hilo litawawezesha watu wasio na uwezo kuweza 'kutembea wakiwa wamekaa' kwenye gari hilo la matairi manne kwa mara ya kwanza.

Gari hilo lina milango minne na siti tano na lina injini kwa nyuma yenye 33bhp, 624cc.

Hata hivyo gari hilo halina airbags, kiyoyozi na radio.

Tata Motor imetoa gari hilo kama njia ya kujiokoa kutokana na madeni na kujiokoa kufilisika kutokana na kupungua kwa mauzo ya magari yake.
        

kutana na matukio ya ebola





Wanaopeleka kortini Bunge la Katiba waongezeka


Mwandishi wa habari,Said Kubenea.

Idadi ya raia wanaohoji mahakamani uhalali wa Bunge Maalum la Katiba kuendelea kujadili Rasimu ya Katiba mpya imezidi kuongezeka.

Baada ya mwandishi wa habari, Said Kubenea kufungua kesi kuhoji uhalali wa Bunge hilo wiki iliyopita, Mjumbe wa Bunge hilo, Said Arfi (Chadema), naye ametangaza kuwa anakusudia kwenda mahakamani kufungua kesi ili kupata ufafanuzi wa mahakama juu ya uhalali wa bunge hilo kuacha kujadili Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Wiki iliopita, Kubenea alifungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupitia kwa Wakili wake, Peter Kibatala dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).Katika kesi hiyo Namba 28 ya mwaka 2014, Kubenea anaiomba mahakama itoe tafsiri sahihi ya Mamlaka ya Bunge la Katiba.

Kubenea alifungua kesi hiyo akiiomba Mahakama itoe tafsiri hiyo chini ya vifungu vya 25 (1) na 25(2) vya Sheria ya Marekebisho ya Katiba Namba 83 ya mwaka 2011.

Sambamba na kesi hiyo ya kuomba tafsiri ya mamlaka ya Bunge hilo, pia amewasilisha maombi mahakamani hapo akiiomba mahakama itoe zuio la muda la kusimamisha Bunge hilo ili kusubiri uamuzi wa maombi ya tafsiri hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Arfi mjini Dodoma jana, anakusudia kwenda mahakamani kupinga kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kwa sababu kinachoendelea kwa sasa ni kamati mbalimbali kuendelea kujadili rasimu ya CCM badala ya ile iliyowasilishwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba.

“Kutokana na vikao vinavyoendelea, kinachoonekana siyo kutengeneza katiba mpya bali ni kufanya marekebisho makubwa katika katiba iliyopo na hilo limeisaidia sana CCM kutokana na wajumbe wa Ukawa kususia Bunge,” alisema Arfi katika taarifa yake kwa vyombo vya habari na kuongeza:

“Kwa kuwa wabunge wa CCM wamedhamiria kuendelea na mchakato huu kwa kuifanyia marekebisho katiba ya sasa na kuachana na Rasimu ya Jaji Warioba na kwa kuwa hakuna namna ya kuwazuia kufanya hivi baada ya wabunge wa Ukawa kususa, mimi nakusudia kuchukua hatua za kisheria kwenda mahakamani ili kupata ufafanuzi wa mahakama juu ya uhalali wa Bunge Maalum la Katiba kuacha Rasimu ya Tume.”

Alisema anawasiliana na wanasheria wake na mchakato unaendelea ili kesi hiyo ifunguliwe mapema katika hali ya dharura.

Alisema kilichomsukuma kufungua kesi hiyo ni baada ya kuona kuna mambo makubwa mawili yameanzishwa ili kujaribu kuwashawishi Wazanzibari kuendelea kuwa sehemu ya Muungano wa serikali mbili na kuyataja kuwa ni pamoja na kuanzishwa kwa makamu watatu wa Rais yaani Makamu wa Rais (Mgombea Mwenza), Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu.

“Kimsingi tunarudi kule kule walikopendekeza Tume kwa sababu ukichambua pendekezo hili unakutana na serikali tatu ambazo ni Tume imependekeza,” alisema.

Alitaja jambo lingine kuwa ni kuanzishwa kwa mabunge matatu ambayo ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar na Tanganyika.

“Ukichambua pendekezo hili unakutana na serikali tatu kwa sababu huwezi kuwa na Bunge la Tanganyika bila kuwa na serikali kwa sababu kazi kubwa ya Bunge ni pamoja na kuisimamia serikali,” alisema.

Aidha, alisema pamoja na hayo yote pia kuna mambo mazuri ambayo yameingizwa kwenye Rasimu hiyo yakiwamo haki za wakulima, wafugaji na wavuvi kumiliki ardhi, haki ya afya, chakula, maji safi na salama, haki ya hifadhi ya jamii na haki ya makazi.

Alisema kinachofanyika kwa sasa siyo kutengeneza Katiba mpya bali kufanya marekebisho makubwa katika Katiba iliyopo.

“Hili limewezekana kwa sababu wenzangu wajumbe wa upinzani kususa…tungekuwapo wote ndani ya Bunge hili lisingewezekana kwa sababu tungepinga kwa nguvu zaidi na hata kuhakikisha Bunge haliendelei…kwa kuwa wabunge wa CCM wamedhamiria kuendelea na mchakato huu wa kuifanyia marekebisho ya Katiba ya sasa na kuachana na Rasimu ya Warioba,” alisema.

Mbali na Arfi na Kubenea, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP) ambaye pia ni mjumbe wa Bunge hilo, Mchungaji Christopher Mtikila, amesema atafungua kesi kama hiyo wiki hii huku Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kikisema kinajiandaa pia kwenda mahakamani kuomba tafsiri hiyo.

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi ulisusia Bunge hilo Aprili 16, mwaka huu pamoja na mambo mengine, kulalamikia Bunge hilo kuweka kando Rasimu ya Tume na kujadili rasimu ya CCM.

Kujitoa kwa wajumbe wa Ukawa kumesababisha makundi kadhaa ya kijamii kupaza sauti yakitaka Bunge Maalum liahirishwe hadi yatakapopatikana maridhiano ili Katiba iandikwe na makundi yote badala ya chama kimoja.

Hata hivyo, wiki iliyopita, Kamati Kuu ya CCM ilibariki mchakato huo uendelee huku maridhiano yakiendelea kutafutwa.
CHANZO: NIPASHE

TV YA MBWA


 
Kituo kipya cha Televisheni kinazidi kupata umaarufu nchini Marekani.
Kituo hicho ni maalum kwa ajili ya mbwa. Kituo hicho kiitwacho DogTV kimepata umaarufu mkubwa mjini San Diego na sasa kitasambaa nchi nzima.

Friday 22 August 2014

VITUKO DUNIANI: ANGALIA MWENYEWE HAPA


 Du! Huyu kafunika mbaaaaaya!
Ila mshkaji nae hapa kamalizia kabisaaaaaaaaa!!!!!... Yani

PICHA ZA HARUSI YAO:WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke).

RIHANNA KUINUNUA LIVERPOOL


Mapenzi ya Rihanna kwenye soka yameingia katika hatua nyingine na sasa hataki kuwa shabiki tu bali mmiliki halali wa timu kubwa duniani, na kwa kuanza anataka kuinunua Liverpool FC!
Kwa mujibu wa gazeti la Hispania, El Mundo Deportivo mwimbaji huyo alianza mpango huo muda mfupi baada ya kuisha kwa fainali za kombe la dunia nchini Brazil ambapo alionekana akitweet mara kwa mara kuhusu mechi zilizokuwa zinaendeelea.


Gazeti hilo limeeleza kuwa Rihanna amekuwa akipata ushauri kutoka kwa marafiki zake wa karibu akiwemo mchezaji wa Chelsea, Didier Drogba ili kufanya maamuzi sahihi katika ununuzi wa club ya mpira wa miguu.
Kwa sasa Liverpool inamilikiwa na John W. Henry na hana mpango wa kuiuza timu hiyo ya soka. 

Saturday 16 August 2014

matokeo ya mitihani ya mwezi chuo cha ardhi Tabora yatoka

ANGALIA MATOKEO YA MIEZI ILIYOPITA YA CHUO CHA ARDHI  TABORA HAPA

Like page yetu hapa

Je wajua Magari yenye bei kubwa

1. Bugatti Veyron Supersport:
1. Bugatti Veyron Supersport:
Bugatti Veyron

Ni gari lenye spidi kali kuliko yote duniani, na ndio gari la gharama kuliko yote duniani. nini cha zaidi unacho taka kujua?? ni gari lenye mvuto wa kipekee yenye thamani ya $2.6 milioni za kimarekani ambazo ni sawa sawa na bilioni 5.11 za kitazania, Bugatti Veyron Supersport ni hakika Bugatti, jaribu kitanda kabisa, ni jinsi gani hawa VW engineers walivyo sukuma kutangaza, na kuweka horse power ya 1200 kutoka quad-turbo 8.0 lita W16 engine na imetengenezwa kwa aerodynamics ambayo inasidia kufika spidi 267.81 mph. ukiongezea kutofautiana na magari mengine ya hypercars, veyron itakuwa uluxury mkubwa kupita wakifahari

Je wajua nchi 20 zinazoongoza duniani kwa ombaomba?


 Nchi 20 zinazoongoza duniani kupokea misaada ya kimaendeleo ni Iraq (Dola Bilioni 9.115) ikifuatiwa na Afghanistan (dola bilioni 3.951. Nchi ya Tanzania ni ya tatu kwa kupokea dola takribani bilioni 2.811 kwa mwaka
Nchi zingine ni hizi hapa chini
NCHI
MSAADA KATIKA
BILIONI ZA DOLA
1.  IRAQ
9.115
2.    AFGHANISTAN
3.951
3.    TANZANIA
2.811
      4.    VIETNAM
2.497
5.    ETHIOPIA
2.422
6.    PAKISTAN
2.212
7.    SUDAN
2.104
8.    NIGERIA
2.042
      9.    CANEROON
1.933
10.  PALESTINE
1.868
11.  MOZAMBIQUE
1.777
12.  UGANDA
1.728
13.  BANGLADESH
1.502
14.  CHINA
1.439
15.  INDIA
1.298
16.  KENYA
1.275
17.  JAMHURI YA KONGO
1.217
18.  GHANA
1.151
19.  MOROKO
1.090
20.  MISRI
1.083
Chanzo:  h6
Like page yetu hapa

gari lenye thamani kubwa kuliko yote duniani

LIKIWA BARABARANI.
 
 

Kutana na nyumba ndogo

Kichekesho cha Jamaa Mmoja na Nyumba Ndogo
Kuna jamaa mmoja kwa muda mrefu alikuwa na mke mdogo kwa siri katika jiji la Ar. Siku moja katika kutenga muda wa kutosha wa kujirusha na bi mdogo jamaa kapanga safari ya kikazi na kumuaga mke wake kuwa anakwenda Dar kikazi wiki nzima. Kumbe huku nyuma alipanga kutanua na bi mdogo.
Baada ya starehe za usiku wa jana yake na bi mdogo huyo, jamaa akiwa ofisini aliamua kumtumia meseji ya kushukuru bi mdogo
Jamaa katuma meseji hii:
“Asante baby kwa staili ya jana, ilikuwa kali sana na nimeipenda. Ndio maana nakupenda wewe kuliko wanawake wote duniani” na kuituma.
Baada ya kutuma jamaa kagundua kakosea namba na ilienda kwa waifu, yaani kwa mke wa ndoa
Jamaa katika kuhaha kuzuia meseji isimfikie mke wake alikwenda kwa wahudumu wa VodaCom ili kuomba msaada wa kuzuia meseji na mazungumzo yakawa hivi:
Jamaa: Kuna meseji nilikuwa niitume kwa bi mdogo kwa bahati mbaya imekwenda kwa waifu wangu, je mnaweza kuizuia?
Mhudumu: Wahi kwenye mnara
like page yetu hapa

PICHA 5 ZA VITUKO ULIMWENGUNI

 
                                          Ndio unajenga ama
                                         Aisee anaitwa Asha cheupe 
                                          Daah raha saana hiki kipepo 
                                          Dah hii ndinga inanichelewesha katika a

RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015


RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015.
16 August 2014
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Tottenham Hotspur
23 August 2014
Aston Villa v Newcastle United
Chelsea v Leicester City
Crystal Palace v West Ham United
Everton v Arsenal
Hull City v Stoke City
Manchester City v Liverpool
Southampton v West Bromwich Albion
Sunderland v Manchester United
Swansea City v Burnley
Tottenham Hotspur v Queens Park Rangers
30 August 2014
Aston Villa v Hull City
Burnley v Manchester United
Everton v Chelsea
Leicester City v Arsenal
Manchester City v Stoke City
Newcastle United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Sunderland
Swansea City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Liverpool
West Ham United v Southampton

13 September 2014

Arsenal v Manchester City
Chelsea v Swansea City
Crystal Palace v Burnley
Hull City v West Ham United
Liverpool v Aston Villa
Manchester United v Queens Park Rangers
Southampton v Newcastle United
Stoke City v Leicester City
Sunderland v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Everton

20 September 2014

Aston Villa v Arsenal
Burnley v Sunderland
Everton v Crystal Palace
Leicester City v Manchester United
Manchester City v Chelsea
Newcastle United v Hull City
Queens Park Rangers v Stoke City
Swansea City v Southampton
Tottenham Hotspur v West Bromwich Albion
West Ham United v Liverpool

27 September 2014

Arsenal v Tottenham Hotspur
Chelsea v Aston Villa
Crystal Palace v Leicester City
Hull City v Manchester City
Liverpool v Everton
Manchester United v West Ham United
Southampton v Queens Park Rangers
Stoke City v Newcastle United
Sunderland v Swansea City
West Bromwich Albion v Burnley

4 October 2014

Aston Villa v Manchester City
Chelsea v Arsenal
Hull City v Crystal Palace
Leicester City v Burnley
Liverpool v West Bromwich Albion
Manchester United v Everton
Sunderland v Stoke City
Swansea City v Newcastle United
Tottenham Hotspur v Southampton
West Ham United v Queens Park Rangers

18 October 2014

Arsenal v Hull City
Burnley v West Ham United
Crystal Palace v Chelsea
Everton v Aston Villa
Manchester City v Tottenham Hotspur
Newcastle United v Leicester City
Queens Park Rangers v Liverpool
Southampton v Sunderland
Stoke City v Swansea City
West Bromwich Albion v Manchester United

25 October 2014

Burnley v Everton
Liverpool v Hull City
Manchester United v Chelsea
Queens Park Rangers v Aston Villa
Southampton v Stoke City
Sunderland v Arsenal
Swansea City v Leicester City
Tottenham Hotspur v Newcastle United
West Bromwich Albion v Crystal Palace
West Ham United v Manchester City

1 November 2014

Arsenal v Burnley
Aston Villa v Tottenham Hotspur
Chelsea v Queens Park Rangers
Crystal Palace v Sunderland
Everton v Swansea City
Hull City v Southampton
Leicester City v West Bromwich Albion
Manchester City v Manchester United
Newcastle United v Liverpool
Stoke City v West Ham United

8 November 2014

Burnley v Hull City
Liverpool v Chelsea
Manchester United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Manchester City
Southampton v Leicester City
Sunderland v Everton
Swansea City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Stoke City
West Bromwich Albion v Newcastle United
West Ham United v Aston Villa

22 November 2014

Arsenal v Manchester United
Aston Villa v Southampton
Chelsea v West Bromwich Albion
Crystal Palace v Liverpool
Everton v West Ham United
Hull City v Tottenham Hotspur
Leicester City v Sunderland
Manchester City v Swansea City
Newcastle United v Queens Park Rangers
Stoke City v Burnley

29 November 2014

Burnley v Aston Villa
Liverpool v Stoke City
Manchester United v Hull City
Queens Park Rangers v Leicester City
Southampton v Manchester City
Sunderland v Chelsea
Swansea City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Everton
West Bromwich Albion v Arsenal
West Ham United v Newcastle United

2 December 2014

Arsenal v Southampton, 7.45pm
Burnley v Newcastle United, 7.45pm
Crystal Palace v Aston Villa, 8pm
Leicester City v Liverpool, 7.45pm
Manchester United v Stoke City, 7.45pm
Swansea City v Queens Park Rangers, 7.45pm
West Bromwich Albion v West Ham United, 8pm

3 December 2014

Chelsea v Tottenham Hotspur, 7.45pm
Everton v Hull City, 7.45pm
Sunderland v Manchester City, 7.45pm

6 December 2014

Aston Villa v Leicester City
Hull City v West Bromwich Albion
Liverpool v Sunderland
Manchester City v Everton
Newcastle United v Chelsea
Queens Park Rangers v Burnley
Southampton v Manchester United
Stoke City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Crystal Palace
West Ham United v Swansea City

13 December 2014

Arsenal v Newcastle United
Burnley v Southampton
Chelsea v Hull City
Crystal Palace v Stoke City
Everton v Queens Park Rangers
Leicester City v Manchester City
Manchester United v Liverpool
Sunderland v West Ham United
Swansea City v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Aston Villa

20 December 2014

Aston Villa v Manchester United
Hull City v Swansea City
Liverpool v Arsenal
Manchester City v Crystal Palace
Newcastle United v Sunderland
Queens Park Rangers v West Bromwich Albion
Southampton v Everton
Stoke City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Burnley
West Ham United v Leicester City

26 December 2014

Arsenal v Queens Park Rangers
Burnley v Liverpool
Chelsea v West Ham United
Crystal Palace v Southampton
Everton v Stoke City
Leicester City v Tottenham Hotspur
Manchester United v Newcastle United
Sunderland v Hull City
Swansea City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Manchester City

28 December 2014

Aston Villa v Sunderland
Hull City v Leicester City
Liverpool v Swansea City
Manchester City v Burnley
Newcastle United v Everton
Queens Park Rangers v Crystal Palace
Southampton v Chelsea
Stoke City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Manchester United
West Ham United v Arsenal

1 January 2015

Aston Villa v Crystal Palace
Hull City v Everton
Liverpool v Leicester City
Manchester City v Sunderland
Newcastle United v Burnley
Queens Park Rangers v Swansea City
Southampton v Arsenal
Stoke City v Manchester United
Tottenham Hotspur v Chelsea
West Ham United v West Bromwich Albion

10 January 2015

Arsenal v Stoke City
Burnley v Queens Park Rangers
Chelsea v Newcastle United
Crystal Palace v Tottenham Hotspur
Everton v Manchester City
Leicester City v Aston Villa
Manchester United v Southampton
Sunderland v Liverpool
Swansea City v West Ham United
West Bromwich Albion v Hull City

17 January 2015

Aston Villa v Liverpool
Burnley v Crystal Palace
Everton v West Bromwich Albion
Leicester City v Stoke City
Manchester City v Arsenal
Newcastle United v Southampton
Queens Park Rangers v Manchester United
Swansea City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Sunderland
West Ham United v Hull City

31 January 2015

Arsenal v Aston Villa
Chelsea v Manchester City
Crystal Palace v Everton
Hull City v Newcastle United
Liverpool v West Ham United
Manchester United v Leicester City
Southampton v Swansea City
Stoke City v Queens Park Rangers
Sunderland v Burnley
West Bromwich Albion v Tottenham Hotspur

7 February 2015

Aston Villa v Chelsea
Burnley v West Bromwich Albion
Everton v Liverpool
Leicester City v Crystal Palace
Manchester City v Hull City
Newcastle United v Stoke City
Queens Park Rangers v Southampton
Swansea City v Sunderland
Tottenham Hotspur v Arsenal
West Ham United v Manchester United

10 February 2015

Arsenal v Leicester City, 7.45pm
Crystal Palace v Newcastle United, 8pm
Hull City v Aston Villa, 7.45pm
Liverpool v Tottenham Hotspur, 8pm
Manchester United v Burnley, 7.45pm
Southampton v West Ham United, 7.45pm
West Bromwich Albion v Swansea City, 8pm

11 February 2015

Chelsea v Everton, 7.45pm
Stoke City v Manchester City, 7.45pm
Sunderland v Queens Park Rangers, 7.45pm

21 February 2015

Aston Villa v Stoke City
Chelsea v Burnley
Crystal Palace v Arsenal
Everton v Leicester City
Hull City v Queens Park Rangers
Manchester City v Newcastle United
Southampton v Liverpool
Sunderland v West Bromwich Albion
Swansea City v Manchester United
Tottenham Hotspur v West Ham United

28 February 2015

Arsenal v Everton
Burnley v Swansea City
Leicester City v Chelsea
Liverpool v Manchester City
Manchester United v Sunderland
Newcastle United v Aston Villa
Queens Park Rangers v Tottenham Hotspur
Stoke City v Hull City
West Bromwich Albion v Southampton
West Ham United v Crystal Palace

3 March 2015

Aston Villa v West Bromwich Albion, 7.45pm
Hull City v Sunderland, 7.45pm
Liverpool v Burnley, 8pm
Queens Park Rangers v Arsenal, 7.45pm
Southampton v Crystal Palace, 7.45pm
West Ham United v Chelsea, 7.45pm

4 March 2015

Manchester City v Leicester City, 7.45pm
Newcastle United v Manchester United, 7.45pm
Stoke City v Everton, 7.45pm
Tottenham Hotspur v Swansea City, 7.45pm

14 March 2015

Arsenal v West Ham United
Burnley v Manchester City
Chelsea v Southampton
Crystal Palace v Queens Park Rangers
Everton v Newcastle United
Leicester City v Hull City
Manchester United v Tottenham Hotspur
Sunderland v Aston Villa
Swansea City v Liverpool
West Bromwich Albion v Stoke City

21 March 2015

Aston Villa v Swansea City
Hull City v Chelsea
Liverpool v Manchester United
Manchester City v West Bromwich Albion
Newcastle United v Arsenal
Queens Park Rangers v Everton
Southampton v Burnley
Stoke City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Leicester City
West Ham United v Sunderland

4 April 2015

Arsenal v Liverpool
Burnley v Tottenham Hotspur
Chelsea v Stoke City
Crystal Palace v Manchester City
Everton v Southampton
Leicester City v West Ham United
Manchester United v Aston Villa
Sunderland v Newcastle United
Swansea City v Hull City
West Bromwich Albion v Queens Park Rangers

11 April 2015

Burnley v Arsenal
Liverpool v Newcastle United
Manchester United v Manchester City
Queens Park Rangers v Chelsea
Southampton v Hull City
Sunderland v Crystal Palace
Swansea City v Everton
Tottenham Hotspur v Aston Villa
West Bromwich Albion v Leicester City
West Ham United v Stoke City

18 April 2015

Arsenal v Sunderland
Aston Villa v Queens Park Rangers
Chelsea v Manchester United
Crystal Palace v West Bromwich Albion
Everton v Burnley
Hull City v Liverpool
Leicester City v Swansea City
Manchester City v West Ham United
Newcastle United v Tottenham Hotspur
Stoke City v Southampton

25 April 2015

Arsenal v Chelsea
Burnley v Leicester City
Crystal Palace v Hull City
Everton v Manchester United
Manchester City v Aston Villa
Newcastle United v Swansea City
Queens Park Rangers v West Ham United
Southampton v Tottenham Hotspur
Stoke City v Sunderland
West Bromwich Albion v Liverpool

2 May 2015

Aston Villa v Everton
Chelsea v Crystal Palace
Hull City v Arsenal
Leicester City v Newcastle United
Liverpool v Queens Park Rangers
Manchester United v West Bromwich Albion
Sunderland v Southampton
Swansea City v Stoke City
Tottenham Hotspur v Manchester City
West Ham United v Burnley

9 May 2015

Arsenal v Swansea City
Aston Villa v West Ham United
Chelsea v Liverpool
Crystal Palace v Manchester United
Everton v Sunderland
Hull City v Burnley
Leicester City v Southampton
Manchester City v Queens Park Rangers
Newcastle United v West Bromwich Albion
Stoke City v Tottenham Hotspur

16 May 2015

Burnley v Stoke City
Liverpool v Crystal Palace
Manchester United v Arsenal
Queens Park Rangers v Newcastle United
Southampton v Aston Villa
Sunderland v Leicester City
Swansea City v Manchester City
Tottenham Hotspur v Hull City
West Bromwich Albion v Chelsea
West Ham United v Everton

24 May 2015

Arsenal v West Bromwich Albion
Aston Villa v Burnley
Chelsea v Sunderland
Crystal Palace v Swansea City
Everton v Tottenham Hotspur
Hull City v Manchester United
Leicester City v Queens Park Rangers
Manchester City v Southampton
Newcastle United v West Ham United
Stoke City v Liverpool
               

Lampard atangaza kuachana na klabu yake ya Chelsea wakati mkataba wake utakapotamatika

  
Kiungo wa Chelsea, Frank Lampard
Kiungo wa Chelsea, Frank Lampard
Reuters

Na Emmanuel Richard Makundi
Kiungo mkongwe wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Uingereza, Frank Lampard ametangaza kuwa ataachana na klabu hiyo mara baada ya kumaliza mkataba wake unaotarajiwa kutamatika mwezi June mwaka huu.

Taarifa za ndani ya klabu hiyo zinasema ku

Tuesday 12 August 2014

je wajua? Kampuni ya China yajipanga kujenga ghorofa refu kuliko yote duniani kwa muda wa siku 90 tu.


Kampuni moja nchini China inajiandaa kufanya ujenzi wa ghorofa refu kuliko yote duniani kwa muda wa siku 90 tu.
Kuanzia ujenzi wa msingi hadi kufikia juu, ujenzi mzima utafanyika ndani ya miezi mitatu kwa kiwango cha ghorofa tano kwa siku.
Ujenzi huo ni changamoto ambayo China pekee ndio inaweza kuifanya na kuwa ghorofa hilo litajengwa katika mji ambao watu wengi hawaufahamu wa Cha

Sunday 10 August 2014

je wajua kazi ya tangawizi?

TANGAWIZI ni chakula cha asili chenye uwezo wa kupambana na ugonjwa wa kichefuchefu na kutapika. Uwezo huu hutokana na vitamin B6 iliyopo kwa kiasi kikubwa katika tangawizi ambayo ni maarufu duniani kote kwa matumizi kama kiungo ‘spice’ kwa vyakula vingine.

Vitamin B6 iligunduliwa mwaka 1934 na Dr. Paul Gyorgy huko Hungary na akabainisha wazi kuwa ml.100 za B6 ni dozi tosha kwa siku kwa wagonjwa wenye umri wa miaka 19 hadi 70 katika kupambana na kichefuchefu na hata kuzuia kutapika pia.
Tangawizi licha ya kuwa na uwezo wa kumaliza tatizo hili, bado imegundulika kuwa na uwezo tena wa kukinga maradhi ya uvimbe ndani ya mwili wa binadamu ambao husababisha wengi kupatwa na maradhi ya saratani za aina tofauti tokana na uvimbe huo.
Hata hivyo, ukiwa unatumia tangawizi katika kila mlo wako kwa muda mfupi tu utajikuta maumivu ya mgongo, kiuno, maungio ya miguu na mikono yamepungua na kama siyo kuisha kabisa. Hii ndiyo kazi halisi ya tangawizi duniani na leo ni fursa kwak
Kuna jamaa mmoja alikuwa kila siku usiku akilala anaota NGEDERE na PANYA wanacheza mpira ikabidi siku moja aende hospital kumuona dokta alipofika hospital mazungumzo yakawa hivi:-
JAMAA: "Dokta mimi nimekuja ninasumbuliwa na ndoto kila siku usiku nikilala naota Ngedere na Panya wanacheza mpira utanisaidiaje?"
DOKTA: "Kwa hilo tatizo lako ulilosema inabidi nikupe hizi dawa ukifika nyumbani uzimeze, ukizimeza kuanzia leo hauto ota tena ndoto hizo sawa!"
JAMAA: "Sawa dokta ila itabidi nianze kuzimeza kesho kwakuwa leo ndio Fainali nataka nijue nani atashinda katika mechi ya leo"
- Dokta alibaki anashangaa!


Dir Kuna mgonjwa mmoja alikwenda hospitali kupimwa alipopimwa na dokta akagundulika anaumwa ugonjwa wa kiharusi mambo yakawa hivi:-
DOKTA: "Nimekupima nimekukuta unaumwa Kiharusi"
MGONJWA: "Ni kweli dokta ndio mana nilikuwa nina hamu sana ya kutaka kuoa! Kumbe naumwa kiharusi"
- Dokta alibaki anashangaa!
Dir - Kuna Teja mmoja alikuwa amelala chini katika kituo cha Mabasi wananchi kibao wakamzunguka kumuangalia na kila mmoja akaanza kujiuliza kwanini kalala pale chini? Kila mwananchi akaanza kutoa maoni yake:-
MWANANCHI 1: "Jamani huyu atakuwa anaumwa, tumpelekeni kwanza hospital"
MWANANCHI 2: "Mimi ninachoona tumpelekeni kwanza Polisi"
Ghafla ikasikika sauti ya Bibi mmoja akisema:-
BIBI: "Sikilizeni jamani Pengine ananjaa huyu hajala hebu mtu mmoja aende akamnunulie chips na soda ale"
Baada ya yule Bibi kusema vile mara yule mteja akainua kichwa na kusema:-
TEJA: "Jamani msikilizeni Bibi anavyosema"
Wananchi wote waliokuwa wamemzunguka wakaangusha kicheko mmoja wao akasikika akisema "KUMBE JAMAA ALIKUWA ANANJAA KISHAVUTA MI UNGA YAKE SASA UBAO UNAMCHARAZA" hahahaaaa!
Dir kuna wanandoa wawili walikuwa wanaish nyumba moja lakini walikuwa wanaugomvi wakawa hawaelewani ndan ya nyumba yao mpaka wakafikia hatua ya kuwekeana mipaka chumbani ikawa kati yao kama kuna mmoja anashida na mwenzake anamuandikia mwenzie ktk karatasi walikuwa hawaongei. Sasa siku moja usiku mwanaume alikuwa anasafar kesho yake asubuh mapema akamwambia mke wake amuamshe asubuh mapema saa12, wakalala ilipofika asubuh sa12 yule mwanamke akaamka akachukua karatasi akamuandikia "mume wangu amka sa12 imeshafika" halaf akarud kulala yule mwanaume akaamka baadae akamwambia "Mke wangu mbona hukuniamsha?" mwanamke akasema huoni nimekuandikia ktk hilo karatasi. BASI TOKEA HAPO WAKAANZA KUONGEA

Dir - kuna hospital moja ya vichaa ilikuwa imeishiwa dawa za kuwapima vichaa akili zao kama wamepona, ikabidi doctor achore alama ya mlango ukutani halaf akawaambia wale vichaa "ATAKAE WEZA KUPITA HAPA AKAONDOKA HUYO ATAKUWA AMEPONA ANARUHUSIWA KWENDA NYUMBANI" basi wale vchaa wote walivyosikia vile wakaanza kugombania kupita ktk ule mchoro, kuna kichaa m1 yeye hakwenda kugombania akabaki anawatizama pemben huku anawacheka wenzie yule Dokta akajua pengine huyu kishapona akamuuliza "WE UNACHEKA NINI?" akamjibu dokta "NAWASHANGAA HAO WANAGOMBANIA KUTOKA NJE WAKATI FUNGUO NINAYO MIMI".
 
 
 

cheka uongeze siku za kuishi

mwizi aliyependa kutubu

 
Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha,kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama.

"Padri naungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana"

"Endelea...."
...
...

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake akaniambia amegundua nimeiba shilingi milioni 50, akasema nisipotoa maelezo ya kuitisha atanipeleka polisi. Sasa ukweli mimi naogopa kufungwa, nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu, nikachomoa bastola nikamuua. Yesu atanisamehe?"

"Utasamehewa... "

"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango unafunguliwa, kutazama loh, mke wa bosi. Akaniuliza nimemfanya nini mume wake.Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu, nikamuua na yeye. Yesu atanisamehe na hiyo?"

"Utasamehewa... "

Utani na mwanajeshi wamtokea puani

 

NewsImages/6615934.jpg

Wednesday, October 03, 2012 11:33 AM
MKAZI WA Mbagala Mission , Omari Nundo anaugulia maumivu akiwa kitandani hoi kwa kichapo alichokipata kutoka kwa jirani yake baada ya kumtania
Nundo ambaye amefika zahanati ya karibu kupata matibabu sasa anaendelea kuuguza maumivu baada ya kichapo hicho ambacho hakukitegemea kutoka kwa jirani yake huyo

Akiongea kwa masikitiko leo asubuhi, Nundo alibainisha kuwa, alipata kipigo hicho jana kutoka kwa jirani yake ambaye wanaishi nyumba za jirani ambaye hakutaja jina lake

Amesema kuwa, yeye na jirani yake walikuwa katika hali ya kutaniana kama ilivyo kawaida yao wanavyofanya lakini alishangazwa na kuona jirani yake huyo akianza kumpa kichapo cha nguvu na hatimaye kumpa maumivu yaliyomfikisha hospitalini kupata matibabu

Amedai kuwa kwa kawaida yeye na jirani yake huyo huwa wanataniana utani wa jadi ambapo kwa kawaida Tanzania kunakuwa na utani wa makabila kabila fulani hutaniana na kabila Fulani ambapo utani huo ulikuwepo tokea enzi za mababu zetu ndio walioturithisha

Amedai yeye ni myao kutoka kusini na jirani yake huyo ni Mngoni kutoka Ruvuma hivyo kiasili huwa ni watani wa jadi na huwa wanataniana mara kwa mara

Amebainisha kuwa, jirani yake huyo ni mwanajeshi, hivyo siku hiyo walianza kutaniana na yeye ndipo akamwambia “Mtani unaacha mke wako uliyejenga naye nyumba, unakwenda kuoa mwanamke mwingine huoni kama kitu kibaya hicho?

“Mke wako uliyehangaika nae kujenga nae hicho kibanda unamuacha unadanganyika na huyo mwanamke sio vizuri mtani” amebainisha jinsi utani huo ulivyokuwa

Mara baada ya kumaliza hayo jirani yake huyo ambaye kazi yake ni mwanajeshi aliona kama ameguswa na ghafla alianza kumpa kichapo mtani wake huyo bila huruma kwa kuona anaambiwa ukweli na siku zote ukweli huwa unauma

Hivyo Nundo alishindwa kujitetea na alipokea kipigo hicho cha nguvu sababu hakuweza kujitetea kwa kuwa jirani yake huyo alikuwa akimpiga kwa tikiniki za kijeshi

Hata hivyo mwandishi wa habari hizi alipoendelea kumuhoji amebainisha kuwa, ni kweli mwanajeshi huyo ameacha mke wake na hivi sasa anatangaza ndoa na mwanamke mwingine

Hivyo ndivyo hali ilivyokuwa hadi imepeleka Omari kuwa kitandani hoi kwa kipigo alichopata kutoka kwa jirani yake huyo ambacho hajakitarajia

Hata hivyo Nundo amesema hapo umeshaingia uhasama “na kama laiti mmoja wetu amepanga angehama lakini mbaya zaidi kila mtu amejenga mahali hapo, sijui wataishi vipi’ alijihoji mwenyewe



like page yetu

PICHAZ..MAAJABU MAKUBWA..MTO WENYE MAJI YA DAMU WATIKISA DUNIA....!



Njaa sio mchezo hona hii.!!!!!!!


Photo: HUU NI UCHU AU LAANA TOKA KWA MUNGU ?


liklike page yetue page yetu

Wanasayansa kweli wana visa.

Wiki hii wamekuja na utafiti wa ajabu. lakini utafiti wenye manufaa kwa wengi.

Watu wengi, sio wanawake wala wanaume huwa na matatizo ya unyumba lakini hawasemi. Hujitangazia ushujaa wa urongo. Utamsikia mtu akisema mimi? Wee...kube wapi Bure kabisa.

Lakini wanasayansi wa uingereza wamegundua kwamba kuna njia rahisi na eti ya kuaminika bola mtu kutumia madawa ya kusisimua ashiki.

Wanasayansi hao wa shirika la Retailer Littlewoods wanasema siri ya ubingwa kitandani unategemea bed shiti

Hiki ndicho wanachokitaka mashabiki wa YANGA


 LIKE PAGE YETU HAPA

Matokeo ya mechi za leo za Barclays Premier League

 Chelsea 2-1 Blackburn ,
 Everton 3-1 Newcastle ,
 Man City 3-2 QPR ,
 Norwich 2-0 Aston Villa ,
 Stoke City 2-2 Bolton ,
Sunderland 0-1 Man Utd ,
Swansea 1-0 Liverpool ,
Tottenham 2-0 Fulham ,
 West Brom 2-3 Arsenal ,
Wigan 3-2 Wolves.

like page yetu

Thursday 7 August 2014

YANGA NA SIMBA WAKABIDHIWA VIFAA NA KILIMANJARO

 
Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu (kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ (kulia), wakionesha baadhi ya vifaa vya michezo  walivyokabidhiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambao ndio wadhamini wakuu wa klabu hizo. Wa pili kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe na Mkurugenzi wa Mashindano, Saad Kawemba. Hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jijini Dar es Salaam
 
Na Clezencia Tryphone
KLABU kongwe nchini za Simba na Yanga, zimekabidhiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 34 kila moja kutoka

Friday 1 August 2014

Je unataka kucheka ?soma hapa

********************************************************************

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:-
''YEAH NI TEMBA hapa au
YEAH NI CHEGE hapa...!!!
Yeye akasema: "YEAH NIKINYA HAPA...!!!"
Watu wakapiga kelele ''UTAZOAAA'' mwenyewe bwenge wee
 

JE, WEWE UNGEJITAMBULISHAJE NAITAJI JIBU LAKO TUONE♥

***************************************************************************** 

Sikia huyu Baba anamuuliza mtoto
wake, "Eti,ukiwa mkubwa utapenda ufanye kazi gani???
Mtoto,"Napenda sana udaktari"
Baba: "Kwanini???
Mtoto: "Kwasababu ndio kazi pekee unayoweza kumuamuru mke wa mtu avue nguo na
akavua... na ukamshika sehemu yoyote hadi sehemu za siri na bado mume wake anakulipa
pesaa.. Baba... hoi wodi namba 11.
*****************************************************************************************
BABA NA MWANAE.

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.
BABA: kwanini unasema hivyo?.
DOGO: kwasababu jana kanisani tulifundishwa "Yesu ni jibu" kwahiyo kote nimejaza Yesu.
BABA: kwel kazi ipo
JE UNGEKUWA WEWE HUYO NDO MWANAO UNGEMFANYAJE?
 

***************************************************************************** 

MKE NA MUME

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako  

MKE akamnong'oneza mume wake na kumwambia mbona mimi nayafahamu yote, ndio maana nimekupa sumu ili na wewe ujue uchungu wake. JE  NANI ZAIDI?
****************************************************************************  
 Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe...
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe...
Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm...nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani...
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani... Acha mawazo mabaya ww???

*****************************************************************************

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa? 
Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"
mama mkwe hoii!! Chezea Wakwe Wa Bongo wewe.
*****************************************************************************

mzee alikuwa analala na mkewe kwenye kitanda cha kamba na watoto wanalala chini, sasa cku moja mzee akaomba game kwa mkewe, mke akakataa akasema watoto hawajalala tusubirii. mzee akalazimisa hivyo hivyo ikabidi mkeo amkubalie. sasa alipoingiza mboo akamuuliza mkewe vp imeingia??
watoto wakajibu: hapana baba hii huku chini.

*****************************************************************************

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"
MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo... teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

 **************************************************************************** 
Mume anamuuliza mkewe: wewe kutwa nzima unacheki kipindi cha mapishi kwa Tv lakini kupika kwenyewe hujuii.....
Mke akamjibu: wewe mbona usiku kucha unaangalia movie za ngono lakini huwezi duuuuh!, nilishawahi kukuulizaa??? Zaidi ya mimi kutoka nje kwenda ku du na wenzako 2heshimiane bwana! ....jamaaa akafa hapohapo.!!


***************************************************************************** 
Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,
Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo.......



*****************************************************************************
jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka... Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka. Watu wakamuullza, unacheka nini sasa wakati umeachwa? Akawajibu: "kinachonichekesha, yule aliyepanda alikuwa ananisindikiza.
*****************************************************************************
Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?
MKAKA: Samahani sana....jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simu....aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saa.....
MKAKA: Achana na mimi wewe

Ha ha ha ha haaaaa!!
*****************************************************************************
Demu mkaliiii alikaa na mzee kwenye daladala siti ya nyuma, mzee kavaa viatu vinatema kishenzi demu kashindwa kuvumilia na kuropoka, "wee mzee ni VIATU vyako vinanuka au?" Mzee akamjibu kwa upole, "Hapana hebu angalia CHUPI yako labda iko upande mjukuu wangu!"
Yule demu kimyaaaa!
Chezea Wazee wenye hekima%
*****************************************************************************
Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;
JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona sisi tu tunakula nyama shemeji Gulo hagusi kabisa anaishia mchicha tu? Tabia gani hii?
LEVI: Hapana sijamkataza, ila shemeji yako Mngoni halagi nyama ya FISI kama sisi

JAMAA AKAZIMIA HAPOHAPA
*****************************************************************************
Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?
sahare ili watu wazidi kutoa maoni yao na kumfanya admini wa page azidi kupata moyo wa kuwawekea habari nzuri zaidi

PIA KWA HABARI ZA MICHEZO,BURUDANI WANAOTAFUTA WACHUMBA MCHEZO WA KUPATA MARAFIKIN.K
(USISAHAU KU LIKE PAGE YETU)
(fwata hiyo link hapo chini itakuelekeza)

https://www.facebook.com/jambotz  
*****************************************************************************
NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo....NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.
 

*****************************************************************************

Binti: Hallo mpenzi, mambo!
Jamaa: Poa baby!
Binti: Uko wapi?
Jamaa: Mimi niko town napata lunch.
Binti: Wow! Unarudi saa ngapi? Nina njaa dear, nataka uniletee msosi.
Jamaa: Narudi baada ya nusu saa, Nikuletee nini?
Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne yakaangwe
pembeni, baga, piza ya samaki waweke mayonaize, coka
take away ya baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya
Wapemba na maji ya kunywa chupa kubwa ya Kilimanjaro.
Jamaa: Umesahau viti, meza, leseni, masufuria, sahani na vijiko.
Binti: Kwa nini dear?
Jamaa: Naona hutaki kula, unataka kufungua hoteli??
*****************************************************************************


Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,
Jamaa alifura akawa kama mbogo na hapo ndipo zogo kuu lilipoanza

MUME:Watu gani hao watakaokuambia unachupi moje, inamaana unawaonyesha kitumbua changu? Leo utanambia'
Ungekuwa wewe ungefanya nini?

 *****************************************************************************

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema. 

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? 
hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

 *****************************************************************************
Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara..... Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu.......
 

*****************************************************************************
Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki kwa heshma wakamchongea Jeneza la umbo la moyo wakati wakiaga mwili wa marehemu Docta1 alikuwa anacheka sana Padri akamuuliza mbo
***************************************************************************** 
Alipomuumba mwanaume alianzia kichwa 2 kifua pamoja na mikono 3tumbo alivyofika chini ya kitovu akaumba nyamanyama tu zenye umbo la ndizi akaacha hivyohivyo kwanza baade aje awekee mfupa akaendelea kuumba miguu basi alivyo maliza miguu akataka arudi amalizie ile kazi yakuwekea mfupa kwenye ile nyama looo! si akakuta jamaa amesimama du! hivi wewe vipi nikikuwekea mfupa si utamaliza watu! basi tosha utakaaga hivyohivyo daima. 
******************************************************************************

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi

1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe
7. subiri asimamishe nikupe
8. hivi nlivyo kaa ntakupaje?
9. Utapewa tulia
10. Nikupe mara ngapi?


*****************************************************************************

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lolote kwa usahìhi ataondoka asiye jibu atabaki.
Dogo mmoja akatupa begi nje ya dirisha.
Mwalimu akauliza nani katupa ilo begi nje?
Dogo akajibu fasta mimi. Akafungua mlango akaenda kwao.

neno moja kwa dogo



*****************************************************************************

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana... naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets