Pages

Thursday 31 July 2014

MAAJABU 7 MAPYA YA DUNIA


Duniani kuna maajabu 7 ya dunia yanayojulikana.Haya yaligundulika karne za huko nyuma hadi karne ya 20..
Ukiona mambo haya hapa chini yametokea yatakuwa ni maajabu 6 mapya ya dunia ya karne hii ya 21:
1. Wanawake wawili marafiki wakutane halafu wakae mahali bila kuongea umbea,labda wawe mabubu
2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza
3.Mke wa ndoa asikuombe hela ya matu...mizi,labda uoe mtoto wa Bakhresa
4.Utoke na Girlfriend outing ajilipie bili zote
5.Mwanaume amwambie msichana mmoja tu I love you only,na iwe ni kweli yuko yeye peke yake
6.Msichana atoke kwenda kwenye kideti bila Make-Up
7.Kukuta Bibi Harusi sio mjamzito au kama sio awe bikira,kizazi hiki cha watoto wa JK

Angalia kali ya wiki

Kuna kaka mmoja alimchukua dada mmoja na kwenda nae katika kioksi kwa ajili ya mazungumzo. Walipofika na kukaa tu katika vitu yule kaka akamuuliza yule dada, “unatumia whatsapp”, yule dada akajibu majestikale kabisa , “ndio natumia sasa sana za baridi, nimeachana na bavaria siku hizi.














LIKE PAGE YETU KWA VITUKO ZAIDI

Wednesday 30 July 2014

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

FIFA yaanzisha Uchunguzi kuhusiana na Ubaguzi wa rangi dhidi ya wachezaji wa Manchester City
Fifa imeanzisha uchunguzi kubaini ukweli wa madai ya mchezaji wa Manchester City kuwa alidhulumiwa kutokana na rangi yake timu hiyo ilipokuwa Croatia.
Shirikisho hilo la soka duniani linaendeleza uchunguzi huo kufuatia madai ya Seko Fofana, 20, kuwa alidhihakiwa walipokuwa wakishiriki mechi ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21.

Magari bila ya dereva Uingereza kuruhusiwa kutumika ianzapo januari

Gari linalojiendesha
Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itaziruhusu gari zisizokuwa na madereva barabarani ifikapo mwezi Januari mwakani.
Serikali hiyo pia imetoa wito miji ya Uingereza zitoe mapendekezo ya kuwania kuwa wenyeji wa moja kati ya majaribio 3 ya magari hayo.
Aidha waziri huyo ameagiza kufanywe mabadiliko ya sheria za barabarani ilikuafikiana na mabadiliko hayo ya teknolojia.
Wizara ya usafiri wa umma nchini Uingereza ilikuwa imeahidi kuruhusu majaribio ya magari hayo mwisho wa mwaka uliopita.
Katibu wa Biashara Vince Cable aliyasema hayo katika hafla ya uzinduzi katika kiwanda cha kutengeneza magari cha Mira,kilichoko Midlands.

Toure: nataka kusalia Etihad


Yaya Toure anataka kusalia Etihad kwa miaka zaidi.
Kiungo cha kati wa Ivory Coast na Manchester City ya Uingereza Yaya Toure amesema kuwa angependa kusalia Etihad milele.
Awali ripoti zilikuwa zimeashiria kutoridhishwa kwake na jinsi anavyothaminiwa na wamiliki wa klabu hiyo bingwawa ligi kuu ya Uingereza.
Lakini sasa Toure anasema kuwa swala wakati huo halikuwa uhamisho bali ilikuwa ni utatuzi swala ibuka.Wakala wake Dimitry Seluk,alikuwa amenukuliwa akidai kuwa Toure alikuwa anahisi kutelekezwa na wenye klabu.
Seluk alikuwa amesema kuwa wamiliki wa klabu hiyo walipuuza Toure siku ya kuadhimisha kuzaliwa kwake mwezi mei timu hiyo ilipokuwa ziarani katika Milki za Kiarabu .
Man City ilikuwa UAE kusherehekea ushindi wa ligi kuu ya Premia ya Uingereza.
Wakati huo Toure alidhaniwa kutilia pondo matamshi ya wakala wake katika mtandao wa kijamii wa Twitter alipodai kuwa hakujuwa ataichezea klabu ipi msimu huu.
Yaya Toure angependa kusalia Etihad
Seluk aliiambia BBC Yaya angefurahia kukaa Etihad milele.
Sasa Toure mwenyewe amepuzilia mbali dhana kuwa alikuwa anapanga kuondoka Etihad akisema kuwa sasa anataka kusalia huko kadri anavyoweza.
Toure, ambaye alitia sahihi kandarasi ya miaka minne mwaka uliopita anapendekeza kusajiliwa kwa wachezaji wengine wapya ilikuimarisha klabu hiyo.
''ikiwa tunataka kuwa klabu yenye sifa lazima nasi tushinde mataji yote''

Msimamo wa ligi kuu uingereza



Tuesday 29 July 2014

Bee sector seeking product development assistance

Honey
Tanzania's beekeeping sector is seeking assistance from product developers and the manufacturing sector in general.
 
Commenting, Dar es Salaam honey products supplier, Freddy Swai, said with increased products, the sub sector competitive and inventing new products out of honey. 
 
Speaking to the Guardian earlier this week, Swai, the Managing Director of Dar es Salaam based Miyombo Golden Resource Company Ltd went on to note that increased value chain addition will translate to more jobs.
 
“The government must invest in this sub-sector…more production plants mean more jobs for our people,” he said.
 
The entrepreneur and apiarist went on to point out that other than the direct economic benefits to be gained from investment in bee products development, there are also numerous environment benefits to be reaped.
 
“Bees help pollinate flora and this is vital for the wellbeing of our environment especially in the face of ongoing global warming,” he said.
He was also keen to note that, honey products have important medical implications and the country stands to gain should medical researchers invest in the sector.
 
“Bees wax is another area that needs value addition,” he added.
He said product developer must engage in improving the value chain in bee products both for honey and bee wax which he said has numerous uses.
 
Detailing on his company’s activities he noted that they are also engaged in the construction of modern beehives to replace wild and traditional once that are still commonly used across the country.
 
“At our Itaga bee yard in Tabora Region we build the hivers ourselves,” he revealed.
 
“We harvest from 400 modern beehives in Tabora region, and supply to Dar es Salaam,” he went on to say.
 
We expect to have at least 200 more modern beehives by next month,” he detailed.
 
He said early next month, Prime Minister Mizengo Pinda, is expected to officiate a ceremony at the production yard to inaugurate the new hives at the Itaga village of Tabora region.

Yanga SC announce committee members

Benno Njovu
The new executive committee members for Mainland top flight side Young Africans Sports Club will officially resume duties with effect from Friday while replacing the incumbent ones.
 
The decision was reached at the club’s leadership meeting held in Dar es Salaam as confirmed by the club’s secretary general Benno Njovu at a press conference yesterday.
 
Njovu said Yanga’s administration has mandate granted by its members according to the club’s constitution to change, reduce or add any member at its executive committee depending on prevailing circumstances.  
 
The Yanga official made public announcement that duties of all incumbent executive committee members will officially come to an end on Thursday.
 
Njovu unveiled the new team and their responsibilities as follows; Aboubakar Rajab will be responsible for Jangwani City project, Sam Mapande -good governance and law, George Fumbuka - organisations formation, Waziri Barnabas - donor’s relations and copyrights permits, Abbas Tarimba - planning and coordination, Isaac Chanji and Seif Ahmed – sports promotion, Mussa Katabaro - sale of merchandise, Mohammed Binda – branches establishment, David Ndeketela Sekione – addition of new members and Mohammed Nyange -  information and advertising.
 
Meanwhile, Njovu acknowledged to have received an invitation letter extended by CECAFA through the TFF to participate in this year’s edition Kagame Cup that kicks off in Kigali on August 7.

Cheka Zaidi Uongeze Siku Za kuishi.... Fungua Ucheki Maajabu ya Walimwengu.

Fungua Kwa Picha Zaidi.....

Azam FC, Simba SC in Africa`s 400 best

Mainland champions Azam FC and Simba are among 408 well rated soccer clubs in the continent on the basis of a release by the African soccer body, CAF, yesterday.

TP Mazembe of the Democratic Republic of Congo lead the list where top city club Young Africans (Yanga) did not make the list. 

The Africa football/soccer clubs ranking places Azam FC at 313 while Simba are slotted at number 318.
 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets