Pages

Saturday 25 October 2014

HII NDIO MELI YA KUBEBA ABILIA KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI

Meli hii inaitwa "Allure of the Sea" ilizinduliwa tarehe 20 November, 2010 na ilianza kufanya kazi kwa mara ya kwanza 1 December, 2010, inakadiliwa kuwa na uzito wa tani 225,282 na pia ina urefu wa 362 m (1,187 ft)  na kimo chake ni 72 m (236 ft) kwa kwenda chini na ina wafanyakazi wapatao 2,384  na inakadiliwa kupakia watu kuanzia 5,400 mpaka 6,296.  Meli hii ina vyumba
vya kulala vipatavyo 2700.


Endelea kutizama picha kwa kubofya hapa chini


























like page yetu kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets