
Kontena
amabalo lilikuwa na vitu vya nyumbani,limekamatwa likiwa na vitu vingi
vya ajabu kama mafuvu na vitu vingine vya kutisha ambavyo inasemekana
hutumika katika ibada za dini za
kishetani.Mzigo
huwa bado unashikiliwa na mamlaka za Kenya na hii hapa audio ya ripoti
nzima na pamoja na video yenyewe kama ilivyoripotiwa na Citizen Tv
like page yetu kwa habari zaidi
duuuh, hatariiii saaaaaaanaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDelete