Pages

Thursday 23 October 2014

Vituko vya Konda wa Daladala na Abiria

Vituko vya Konda wa Daladala na Abiria Kwa wale mnaotumia sana usafiri wa umma au daladala utakuwa umekumbana na mojawapo ya ya vituko vya makonda na abiria wa daladala kama ifuatavyo
Mlokole; konda weka nyimbo za Yesu
Konda; Yesu bado hajatoa albam.
Matozi; humu ndani joto
Konda; kapande friji
Abiria; kuna siti?
Konda; Kwani hawa walioko wamekalia madumu?
Sistaduu: Konda unanibana
Konda; hiyo suruali inakubana mbona husemi!
Mama: sikai siti za mwisho
Konda; Kwani hizo siti za mwisho ziko nje ya gari?
Abiria : we konda  vipi kuwa  kama umeenda  shule
Konda: Mimi ndiyo kwanza nimetoka shule
Kama una mengine tafadhali ututumie na tutakuwekea kiunganishi cha blogu au web yako hapa bure

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets