Pages

Thursday 23 October 2014

Vituko na Vichekesho vya Mmasai na Mpogoro

Vituko na Vichekesho vya Mmasai na Mpogoro Kule Morogoro katika kibanda cha kuuzia vinywaji baridi kulitokea vichekesho vya mmasai mmoja na mpogoro mojawapo ya hivyo vichekesho hiki kidogo lakini inachekesha na kuvunja mbavu.
Kijana mmoja wa kimasai mtanashati, mwenye umri wa wastani alikwenda kujipatia kinywaji baridi katika kibanda hicho cha mpogoro.
Fuatilia mazungumzo yao:
Mmasai: Ile soda nyeusi iko? (akimaanisha cokacola)
Mpogoro: Ndiyo ipo
Mmasai: Mpe mimi
Mpogoro: Hii hapa
Mmasai: Fungua
Mpogoro: Nimeifungua hii hapa
Mmasai: Nipimie ya silingi kumi:
Mpogoro akaduwaa, sikujua kilichoendelea baada ya hapo
like page yetu kwa vichekesho zaidi

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets