
Kijana mmoja wa kimasai mtanashati, mwenye umri wa wastani alikwenda kujipatia kinywaji baridi katika kibanda hicho cha mpogoro.
Fuatilia mazungumzo yao:
Mmasai: Ile soda nyeusi iko? (akimaanisha cokacola)
Mpogoro: Ndiyo ipo
Mmasai: Mpe mimi
Mpogoro: Hii hapa
Mmasai: Fungua
Mpogoro: Nimeifungua hii hapa
Mmasai: Nipimie ya silingi kumi:
Mpogoro akaduwaa, sikujua kilichoendelea baada ya hapo
like page yetu kwa vichekesho zaidi
No comments:
Post a Comment