Pages

Thursday 23 October 2014

{Vichekesho} Swali nani kati ya hawa ni mchawi kuliko mwenzie?

1) Alizama baharini kwa muda wa dakika 30, akaibuka akiwa mkavu kabisa.
2) Alizama baharini na mshumaa unaowaka kwa muda wa dakika 30 akaibuka nao ukiwa unaendelea kuwaka.
3) Alitandika mkeka juu ya bahari akalala, alipoamka asubuhi akaanza kukung’uta vumbi
Nani mkali kuliko Mwenzie?.
like page yetu kwa vichekesho zaidi

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets