Pages

Tuesday 30 December 2014

HAPA NDIO KWA MWALIMU NYERERE

Hapa ndipo nyumbani kwa baba wa Taifa Hayati Mwalimu JK Nyerere, nyumba ya mwalimu ipo Butiama mkoa wa Mara na ndipo  alipozikiwa. Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na alikuwa kiongozi wa mfano Afrika na Duniani kwa kuwa kiongozi muadilifu.
fahamu zaidi kwa kulike hapa

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets