
India na Somalia katika nafasi ya nne na ya tano, kwa mtiririko huo,
TrustLaw iliuliza wataalam wa jinsia 213 kutoka mabara matano juu ya mtazamo wa jumla wa hatari kama vile: afya duni, unyanyasaji wa kijinsia, mahusiano yasiyo ya kingono, kitamaduni au kidini, ukosefu wa rasilimali na biashara ya binadamu.
Nchi Tano Hatari Duniani kwa wanawake ni:
1. Afghanistan
2. CONGO
3. PAKISTAN
4. INDIA
5. SOMALIA
like hapa kwa habari zaidi
No comments:
Post a Comment