Pages

Thursday 30 April 2015

Sayari 10 Zinazoweza kuwa na Maisha

Mpaka kufikia Aprili 2014, kuna Sayari 21 nje ya mfumo wetu wa Jua, ambazo zina uwezekano mkubwa wa kuwa na maisha ukiachana na Sayari yetu (Dunia).
Katika sayari hizi 21, zipo ambazo wanaSayansi hawana uhakika zaidi, kwani wanaendelea kuzisoma mazingira yake.
Ifuatayo ni orodha ya Sayari 10, ambazo mpaka sasa; zina uwezekano mkubwa zaidi wa kuwa na namna fulani ya maisha/ viumbe hai.
image

Kabla ya kuanza, ningependa kufanunua, maana ya ‘mwaka wa nuru’ (light year) kwa faida, kwa kuwa ntakuwa nikiitumia mara kwa mara katika makala hii…
Mwaka wa Nuru (Light Year):
Mwaka wa nuru ni kipimo si cha muda lakini cha umbali. Kinataja umbali unaopitiwa na nuru ikitembea kwa muda wa mwaka mmoja wa dunia yaani siku 365.
Msingi wa kipimo hiki ni kasi ya nuru ya kuwa nuru inatembea takriban kilomita 300,000 kwa sekunde. Idadi kamili ni mita 299,792,458 kwa sekunde moja. Mwezi wa dunia yetu una umbali na sisi kama sekunde moja ya nuru au kilomita lakhi tatu na dunia.
Katika mwaka mmoja umbali huo unafika mita 9.461 × 1015.
Kipimo hiki kinahitajika kutaja umbali kati ya nyota na nyota angani.
Sasa Tuanze:
10. Kepler-186fimage
Kepler-186f ni Sayari ambayo inafanana zaidi kiukubwa na Dunia kuliko zote ambazo zimepatikana. Sayari hii ipo umbali wa miaka ya nuru (light-years) 490 kutoka Duniani.

9. Gliese 581g
image
Sayari hii bado inakumbana na utata miongoni mwa wanaAstronomia mbalimbali. Iligundulika kwa mara ya kwanza, mwaka 2010. Pamoja na kwamba, bado kuna wanaSayansi wanaopata tabu kuihakikisha; Chuo cha Puerto Rico kilichopo Arecibo kinasema Gliese 581 g ni mhitimu wa kwanza kama tunatafuta viumbehai katika Sayari nyingine.
Sayari hii ipo umbali wa miaka ya nuru 20 kutoka Jua letu, na ina ukubwa mara tatu ya Dunia yetu. Sayari hii inazunguka nyota yake iitwayo Gliese 581 kila baada ya siku 30, na ipo katika Kundinyota (constellation) Libra.

8. Gliese 667Ccimage
Sayari ipo katika kundi la Sayari tuziitazo “Super-Earth”, kwani inaizidi kiukubwa Dunia yetu mara 4.5.
Ipo umbali wa miaka ya nuru 22 kutoka Duniani, na ipo kwenye Kundinyota Scorpius. Inazunguka nyota yake iitwayo GJ 667C ndani ya siku 28.

7. Kepler-22bimage
Kepler-22b ni kubwa kuliko Dunia mara 2.4. Inazunguka nyota ambayo inafanana kwa karibu na Jua letu kwa ukubwa na Joto.
Kepler-22b ipo umbali wa miaka ya nuru 600, kwenye Kundinyota Cygnus.

6. HD 40307gimage
HD 40307 g ni Sayari nyingine iliyo kwenye kategoria ya “Super-Earth”. Ipo umbali wa miaka 42 ya nuru katika Kundinyota Pictor…

5. HD 85512b
image

HD 85512b ilitangazwa mwaka 2011 ikiwa ni miongoni mwa Sayari 50 zilizogundulika kwa kutumia chombo cha HARPS (High Accuracy Radial Velocity Planet Searcher) kilichopo nchini Chile.
Sayari hii inaizidi kikubwa Dunia mara 3.6, na ipo umbali wa miaka 35 ya Nuru kwenye Kundinyota Vela.

4. Tau Ceti e
image

Sayari ya Tau Ceti e iligundilika Desemba, mwaka 2012.
Ipo kwenye Kategoria ya “Super-Earth”, ikiizidi Dunia kiukubwa mara 4.3. Sayari hii ipo umbali wa miaka 11.9 ya nuru.

3. Gliese 163c
image

Ukubwa wa Sayari hii, unafanya WanaSayansi wasiwe na uhakika ni Sayari ya aina gani. Inaizidi ukubwa Dunia mara 7, which means inaweza ikawa Sayari mwamba kubwa sana, au yaweza kuwa Sayari ya gesi kama Mshtarii (Jupiter).
Gliese 163c huzunguka nyota yake kila baada ya siku 26. Ipo umbali wa miaka 50 ya nuru kutoka sayari yetu, na ipo kwenye Kundinyota Dorado.

2. Gliese 581d
image

Sayari hii inaizidi kiukubwa Dunia mara 7 pia, na ipo umbali wa miaka 20 ya nuru.

1. Tauceti f
image

Tauceti f pia ipo kwenye Kategoria ya “Super Earth” kama sayari nyenzake Tauceti e.
Tauceti f inaizidi ukubwa Dunia mara 6.6…

(Na hizo ndizo Sayari 10 zinazoweza kuwa na maisha/viumbe hai… Nitoe Shukrani kwa 'space.com’ kwa kunisaidia kupata taarifa hizi.)

 like page yetu kwa hufahamu zaidi
KUTANA NA RAISI MASIKINI KULIKO WOTE DUNIIANI. JOSE MUJICA WAKATI hapa nchini baadhi ya viongozi wakikataa kuweka hadharani ama kuficha mali wanazomiliki, hali ni tofauti kwa Rais wa nchi ya Uruguay, José Mujica, ambaye ameamua kuishi maisha ya kifukara sawa na wananchi wake wa kawaida. Tofauti na viongozi wetu ambao hudai nyongeza nono ya malipo yao wakati wakiwa tayari wanalipwa fedha nyingi kupita kiasi, Mujica katika zama hizi anaweza akawa ndiye rais maarufu kuliko wote duniani, akitoa asilimia 90 ya mshahara wake kwa ajili ya maendeleo ya watu wake. Mujica anaingia kwenye vitabu vya kihistoria akijenga hadhi na heshima ya kuitwa rais maskini duniani, lakini mwenye roho ya kujali. Jina lake la utani sasa ni Rais Maskini. Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Rais Mujica anasema mali kubwa anayomiliki ni gari aina ya Volkswagen Beetle, lenye thamani ya dola za Kimarekani 1,945 ambazo ni sawa na shilingi za Kitanzania milioni 3.1. Analipwa mshahara wa dola 12,500 kwa mwezi ambazo ni sawa na shilingi milioni 19.9, lakini anabaki na dola 1,250 ambazo ni sawa na shilingi milioni 1.9 kwa ajili ya mahitaji yake na kiasi kingine chote kilichobaki ambacho ni karibu sh milioni 18 hukitoa kwa ajili ya watu maskini na wajasiriamali wadogo. Mujica mwenye umri wa miaka 77 ambaye amekuwa Rais wa Uruguay tangu Machi 1, 2010 anasema; “Niko sawa kabisa na kiasi ninachobaki nacho kwa sababu kuna watu wengi wa Uruguay ambao wanaishi kwa kiwango kidogo cha pesa.” Rais huyo anaishi katika nyumba ya kawaida shambani ambayo ni ya mke wake, Lucía Topolansky, ambaye ni seneta. Pia naye anatoa sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya watu wa Uruguay. Mujica alikataa kuishi kwenye jumba la kifahari, Ikulu ambalo huishi marais akachagua kwenda kuishi shambani kwenye nyumba ya mke wake katika mji wa Montevideo. Huko barabara ni mbaya. Rais na mke wake wanafanya kazi katika shamba lao la maua. Nguo zinazoonekana zimeanikwa nje ya nyumba yao ni zile za kawaida, huku nyingine zikiwa zinaonekana kuukuu. Maji anayotumia yanatoka kwenye kisima. Hayo ndiyo makazi ya Rais Mujica, ambaye mfumo wa maisha yake yanatofautiana kabisa na viongozi wengi duniani. Rais huyo hana hata akaunti ya benki, wala deni lolote na hana lundo la walinzi. Walinzi wake ni maofisa wawili wa polisi na mbwa wake mwenye miguu mitatu ambaye anaitwa Manuela. “Nimeishi hivi karibu maisha yangu yote,” anasema, akiwa amekaa katika kiti chake kilichoko kwenye bustani, ambacho kina mto ambao mbwa wake Manuela hupenda kuulalia. “Naweza kuishi vizuri kwa kile nilichonacho,’ anaongeza Rais Mujica. Mwaka 2010, alipotangaza mali zake kama ilivyo kawaida kwa maofisa wa Uruguay kufanya hiyo, Rais Mujica alikuwa na mali yenye thamani ya dola 1,800 ambazo ni sawa na shilingi milioni 2.9, ambayo inakaribiana na thamani ya gari lake la mwaka 1987, Volkswagen Beetle. Mwaka huu aliongeza nusu ya mali za mke wake – ambazo ni shamba, matrekta na nyumba ambazo zimefikia dola 215,000 ambazo ni sawa na shilingi milioni 341.5. Kiasi hicho bado ni mbili ya tatu ya mali alizotangaza kumiliki Makamu wa Rais Danilo Astori, na theluthi ya mali zilizotangazwa na mrithi wa Mujica kama rais, Tabare Vasquez. Imeripotiwa kuwa chini ya mfumo wa uongozi wake huo, kiwango cha rushwa nchini Uruguay kimeshuka sana. Nchi hiyo ambayo ipo katika bara la Amerika Kusini, katika ripoti ya Transparency International’s global corruption imeripotiwa kushika nafasi ya pili kutoka mwisho katika orodha ya nchi zenye kiwango kidogo cha rushwa. Rais Mujica alichaguliwa mwaka 2009, huku miaka ya 1960 na 1970 akiwa ametumia maisha yake kama mpiganaji wa msituni kupitia kundi la kiharakati la Tupamaros. Kundi hili la kipiganaji lenye mrengo wa kushoto, awali lilianzishwa na wafanyakazi wa hali ya chini waliokuwa wakifanya kazi kwenye mashamba ya miwa na wanafunzi waliotajwa baada ya utawala uliojulikana kama Inca chini ya Mfalme Tupac Amaru. Kundi hilo lilichochewa na mapinduzi ya Cuba na lilipigana kuhakikisha serikali ya kikatiba inarejea tena mwaka 1985. Mujica alitumia nafasi kubwa kulibadili kundi la Tupamaros na kuwa chama cha kisiasa kisheria. Wakati akipigania nchi yake kabla ya kulibadili kundi hilo na kuwa chama cha kisiasa, amepata kupigwa risasi mara sita na ametumikia kifungo cha miaka 14 jela. Muda wote ambao alikuwa akishikiliwa amepitia katika mateso makali, huku akinyanyasika na kutengwa hadi pale alipoachiwa huru miaka ya 1985 wakati Uruguay iliporejea kwenye demokrasia. Maisha hayo yote ya gerezani, Mujica anasema yamemsaidia kushepu muonekano wa maisha yake. “Naitwa rais maskini zaidi, lakini sijisikii kama ni maskini. Watu maskini ni wale ambao tu hufanya kazi kwa ajili ya kuyafanya maisha yao yawe ya juu, na siku zote hutaka zaidi na zaidi. “Hili ni jambo la uhuru. Kama hutaki kuwa na mali nyingi hupaswi kufanya kazi katika maisha yako yote kama mtumwa, na hivyo unakuwa na muda mwingi kwa ajili yako. “Naweza kuonekana kichaa na mshamba. Lakini ni chaguo huru,” anasema Rais Mujica. Mtafiti wa Uruguay, Ignacio Zuasnabar anasema watu wengi nchini humo wanamuonea huruma Rais Mujica na kumuona ni mwenzao kwa sababu ya jinsi anavyoishi. Lakini anasema hilo halizuii utendaji wa serikali kukosolewa. Wapinzani wa Uruguay wanasema mwelekeo wa uchumi wa nchi haujatoa matokeo mazuri katika huduma za umma kama afya na elimu, na kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 umaarufu wa Mujica umeshuka chini ya asilimia 50. Mwaka huu pia alijikuta katika moto mkali kwa sababu ya mambo mawili ambayo yamezua mjadala mkali. Hivi karibuni, Baraza la Wawakilishi la nchini humo lilipitisha muswada ambao unaruhusu utoaji mimba wa hadi wiki 12, na tofauti na mtangulizi wake, Mujica hakupinga hilo. Badala yake aliamua kubaki shambani kwa mke wake. Mbali na hilo, pia jambo lingine ambalo limezua mjadala ni kitendo chake cha kuunga mkono mjadala wa kuruhusu matumizi ya bangi, katika muswada ambao huenda ukaipa serikali mamlaka ya kudhibiti biashara zake. “Matumizi ya bangi si jambo la kuogopesha sana, lakini jinsi ya kushughulikia suala la dawa za kulevya ni tatizo kubwa,” anasema Rais Mujica. Hata hivyo, Rais Mujica hana sababu ya kuwa na mashaka makubwa juu ya umaarufu wake kushuka kwa sababu kwa mujibu wa sheria za Uruguay, haruhusiwi kugombea tena katika kipindi cha pili mwaka 2014. Pia kwa umri wake wa miaka 77, huenda akastaafu siasa muda si mrefu. Na atakapostaafu, atakuwa anakula pensheni zake. Huyo ndiye Rais Mujica ambaye ameamua kujitofautisha kabisa na viongozi wengine duniani, ambao kwao mali ni mtaji, hulindwa kama lulu, hulelewa kama yai, huku wakitumia mamilioni ya walipa kodi kwenda kuangalia afya zao kila baada ya mwaka au miezi nje ya nchi. Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook 0 comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Total Pageviews 91789 Like our Page Facebook Mahdi Pyalali Moledina likes Kibanda cha nyumbani Kibanda cha nyumbani Create your Like Badge wageni Widget by : All Blogging Tips bbc habari Blog Archive Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
KUTANA NA RAISI MASIKINI KULIKO WOTE DUNIIANI. JOSE MUJICA WAKATI hapa nchini baadhi ya viongozi wakikataa kuweka hadharani ama kuficha mali wanazomiliki, hali ni tofauti kwa Rais wa nchi ya Uruguay, José Mujica, ambaye ameamua kuishi maisha ya kifukara sawa na wananchi wake wa kawaida. Tofauti na viongozi wetu ambao hudai nyongeza nono ya malipo yao wakati wakiwa tayari wanalipwa fedha nyingi kupita kiasi, Mujica katika zama hizi anaweza akawa ndiye rais maarufu kuliko wote duniani, akitoa asilimia 90 ya mshahara wake kwa ajili ya maendeleo ya watu wake. Mujica anaingia kwenye vitabu vya kihistoria akijenga hadhi na heshima ya kuitwa rais maskini duniani, lakini mwenye roho ya kujali. Jina lake la utani sasa ni Rais Maskini. Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Rais Mujica anasema mali kubwa anayomiliki ni gari aina ya Volkswagen Beetle, lenye thamani ya dola za Kimarekani 1,945 ambazo ni sawa na shilingi za Kitanzania milioni 3.1. Analipwa mshahara wa dola 12,500 kwa mwezi ambazo ni sawa na shilingi milioni 19.9, lakini anabaki na dola 1,250 ambazo ni sawa na shilingi milioni 1.9 kwa ajili ya mahitaji yake na kiasi kingine chote kilichobaki ambacho ni karibu sh milioni 18 hukitoa kwa ajili ya watu maskini na wajasiriamali wadogo. Mujica mwenye umri wa miaka 77 ambaye amekuwa Rais wa Uruguay tangu Machi 1, 2010 anasema; “Niko sawa kabisa na kiasi ninachobaki nacho kwa sababu kuna watu wengi wa Uruguay ambao wanaishi kwa kiwango kidogo cha pesa.” Rais huyo anaishi katika nyumba ya kawaida shambani ambayo ni ya mke wake, Lucía Topolansky, ambaye ni seneta. Pia naye anatoa sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya watu wa Uruguay. Mujica alikataa kuishi kwenye jumba la kifahari, Ikulu ambalo huishi marais akachagua kwenda kuishi shambani kwenye nyumba ya mke wake katika mji wa Montevideo. Huko barabara ni mbaya. Rais na mke wake wanafanya kazi katika shamba lao la maua. Nguo zinazoonekana zimeanikwa nje ya nyumba yao ni zile za kawaida, huku nyingine zikiwa zinaonekana kuukuu. Maji anayotumia yanatoka kwenye kisima. Hayo ndiyo makazi ya Rais Mujica, ambaye mfumo wa maisha yake yanatofautiana kabisa na viongozi wengi duniani. Rais huyo hana hata akaunti ya benki, wala deni lolote na hana lundo la walinzi. Walinzi wake ni maofisa wawili wa polisi na mbwa wake mwenye miguu mitatu ambaye anaitwa Manuela. “Nimeishi hivi karibu maisha yangu yote,” anasema, akiwa amekaa katika kiti chake kilichoko kwenye bustani, ambacho kina mto ambao mbwa wake Manuela hupenda kuulalia. “Naweza kuishi vizuri kwa kile nilichonacho,’ anaongeza Rais Mujica. Mwaka 2010, alipotangaza mali zake kama ilivyo kawaida kwa maofisa wa Uruguay kufanya hiyo, Rais Mujica alikuwa na mali yenye thamani ya dola 1,800 ambazo ni sawa na shilingi milioni 2.9, ambayo inakaribiana na thamani ya gari lake la mwaka 1987, Volkswagen Beetle. Mwaka huu aliongeza nusu ya mali za mke wake – ambazo ni shamba, matrekta na nyumba ambazo zimefikia dola 215,000 ambazo ni sawa na shilingi milioni 341.5. Kiasi hicho bado ni mbili ya tatu ya mali alizotangaza kumiliki Makamu wa Rais Danilo Astori, na theluthi ya mali zilizotangazwa na mrithi wa Mujica kama rais, Tabare Vasquez. Imeripotiwa kuwa chini ya mfumo wa uongozi wake huo, kiwango cha rushwa nchini Uruguay kimeshuka sana. Nchi hiyo ambayo ipo katika bara la Amerika Kusini, katika ripoti ya Transparency International’s global corruption imeripotiwa kushika nafasi ya pili kutoka mwisho katika orodha ya nchi zenye kiwango kidogo cha rushwa. Rais Mujica alichaguliwa mwaka 2009, huku miaka ya 1960 na 1970 akiwa ametumia maisha yake kama mpiganaji wa msituni kupitia kundi la kiharakati la Tupamaros. Kundi hili la kipiganaji lenye mrengo wa kushoto, awali lilianzishwa na wafanyakazi wa hali ya chini waliokuwa wakifanya kazi kwenye mashamba ya miwa na wanafunzi waliotajwa baada ya utawala uliojulikana kama Inca chini ya Mfalme Tupac Amaru. Kundi hilo lilichochewa na mapinduzi ya Cuba na lilipigana kuhakikisha serikali ya kikatiba inarejea tena mwaka 1985. Mujica alitumia nafasi kubwa kulibadili kundi la Tupamaros na kuwa chama cha kisiasa kisheria. Wakati akipigania nchi yake kabla ya kulibadili kundi hilo na kuwa chama cha kisiasa, amepata kupigwa risasi mara sita na ametumikia kifungo cha miaka 14 jela. Muda wote ambao alikuwa akishikiliwa amepitia katika mateso makali, huku akinyanyasika na kutengwa hadi pale alipoachiwa huru miaka ya 1985 wakati Uruguay iliporejea kwenye demokrasia. Maisha hayo yote ya gerezani, Mujica anasema yamemsaidia kushepu muonekano wa maisha yake. “Naitwa rais maskini zaidi, lakini sijisikii kama ni maskini. Watu maskini ni wale ambao tu hufanya kazi kwa ajili ya kuyafanya maisha yao yawe ya juu, na siku zote hutaka zaidi na zaidi. “Hili ni jambo la uhuru. Kama hutaki kuwa na mali nyingi hupaswi kufanya kazi katika maisha yako yote kama mtumwa, na hivyo unakuwa na muda mwingi kwa ajili yako. “Naweza kuonekana kichaa na mshamba. Lakini ni chaguo huru,” anasema Rais Mujica. Mtafiti wa Uruguay, Ignacio Zuasnabar anasema watu wengi nchini humo wanamuonea huruma Rais Mujica na kumuona ni mwenzao kwa sababu ya jinsi anavyoishi. Lakini anasema hilo halizuii utendaji wa serikali kukosolewa. Wapinzani wa Uruguay wanasema mwelekeo wa uchumi wa nchi haujatoa matokeo mazuri katika huduma za umma kama afya na elimu, na kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 umaarufu wa Mujica umeshuka chini ya asilimia 50. Mwaka huu pia alijikuta katika moto mkali kwa sababu ya mambo mawili ambayo yamezua mjadala mkali. Hivi karibuni, Baraza la Wawakilishi la nchini humo lilipitisha muswada ambao unaruhusu utoaji mimba wa hadi wiki 12, na tofauti na mtangulizi wake, Mujica hakupinga hilo. Badala yake aliamua kubaki shambani kwa mke wake. Mbali na hilo, pia jambo lingine ambalo limezua mjadala ni kitendo chake cha kuunga mkono mjadala wa kuruhusu matumizi ya bangi, katika muswada ambao huenda ukaipa serikali mamlaka ya kudhibiti biashara zake. “Matumizi ya bangi si jambo la kuogopesha sana, lakini jinsi ya kushughulikia suala la dawa za kulevya ni tatizo kubwa,” anasema Rais Mujica. Hata hivyo, Rais Mujica hana sababu ya kuwa na mashaka makubwa juu ya umaarufu wake kushuka kwa sababu kwa mujibu wa sheria za Uruguay, haruhusiwi kugombea tena katika kipindi cha pili mwaka 2014. Pia kwa umri wake wa miaka 77, huenda akastaafu siasa muda si mrefu. Na atakapostaafu, atakuwa anakula pensheni zake. Huyo ndiye Rais Mujica ambaye ameamua kujitofautisha kabisa na viongozi wengine duniani, ambao kwao mali ni mtaji, hulindwa kama lulu, hulelewa kama yai, huku wakitumia mamilioni ya walipa kodi kwenda kuangalia afya zao kila baada ya mwaka au miezi nje ya nchi. Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook 0 comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Total Pageviews 91789 Like our Page Facebook Mahdi Pyalali Moledina likes Kibanda cha nyumbani Kibanda cha nyumbani Create your Like Badge wageni Widget by : All Blogging Tips bbc habari Blog Archive Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
KUTANA NA RAISI MASIKINI KULIKO WOTE DUNIIANI. JOSE MUJICA WAKATI hapa nchini baadhi ya viongozi wakikataa kuweka hadharani ama kuficha mali wanazomiliki, hali ni tofauti kwa Rais wa nchi ya Uruguay, José Mujica, ambaye ameamua kuishi maisha ya kifukara sawa na wananchi wake wa kawaida. Tofauti na viongozi wetu ambao hudai nyongeza nono ya malipo yao wakati wakiwa tayari wanalipwa fedha nyingi kupita kiasi, Mujica katika zama hizi anaweza akawa ndiye rais maarufu kuliko wote duniani, akitoa asilimia 90 ya mshahara wake kwa ajili ya maendeleo ya watu wake. Mujica anaingia kwenye vitabu vya kihistoria akijenga hadhi na heshima ya kuitwa rais maskini duniani, lakini mwenye roho ya kujali. Jina lake la utani sasa ni Rais Maskini. Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Rais Mujica anasema mali kubwa anayomiliki ni gari aina ya Volkswagen Beetle, lenye thamani ya dola za Kimarekani 1,945 ambazo ni sawa na shilingi za Kitanzania milioni 3.1. Analipwa mshahara wa dola 12,500 kwa mwezi ambazo ni sawa na shilingi milioni 19.9, lakini anabaki na dola 1,250 ambazo ni sawa na shilingi milioni 1.9 kwa ajili ya mahitaji yake na kiasi kingine chote kilichobaki ambacho ni karibu sh milioni 18 hukitoa kwa ajili ya watu maskini na wajasiriamali wadogo. Mujica mwenye umri wa miaka 77 ambaye amekuwa Rais wa Uruguay tangu Machi 1, 2010 anasema; “Niko sawa kabisa na kiasi ninachobaki nacho kwa sababu kuna watu wengi wa Uruguay ambao wanaishi kwa kiwango kidogo cha pesa.” Rais huyo anaishi katika nyumba ya kawaida shambani ambayo ni ya mke wake, Lucía Topolansky, ambaye ni seneta. Pia naye anatoa sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya watu wa Uruguay. Mujica alikataa kuishi kwenye jumba la kifahari, Ikulu ambalo huishi marais akachagua kwenda kuishi shambani kwenye nyumba ya mke wake katika mji wa Montevideo. Huko barabara ni mbaya. Rais na mke wake wanafanya kazi katika shamba lao la maua. Nguo zinazoonekana zimeanikwa nje ya nyumba yao ni zile za kawaida, huku nyingine zikiwa zinaonekana kuukuu. Maji anayotumia yanatoka kwenye kisima. Hayo ndiyo makazi ya Rais Mujica, ambaye mfumo wa maisha yake yanatofautiana kabisa na viongozi wengi duniani. Rais huyo hana hata akaunti ya benki, wala deni lolote na hana lundo la walinzi. Walinzi wake ni maofisa wawili wa polisi na mbwa wake mwenye miguu mitatu ambaye anaitwa Manuela. “Nimeishi hivi karibu maisha yangu yote,” anasema, akiwa amekaa katika kiti chake kilichoko kwenye bustani, ambacho kina mto ambao mbwa wake Manuela hupenda kuulalia. “Naweza kuishi vizuri kwa kile nilichonacho,’ anaongeza Rais Mujica. Mwaka 2010, alipotangaza mali zake kama ilivyo kawaida kwa maofisa wa Uruguay kufanya hiyo, Rais Mujica alikuwa na mali yenye thamani ya dola 1,800 ambazo ni sawa na shilingi milioni 2.9, ambayo inakaribiana na thamani ya gari lake la mwaka 1987, Volkswagen Beetle. Mwaka huu aliongeza nusu ya mali za mke wake – ambazo ni shamba, matrekta na nyumba ambazo zimefikia dola 215,000 ambazo ni sawa na shilingi milioni 341.5. Kiasi hicho bado ni mbili ya tatu ya mali alizotangaza kumiliki Makamu wa Rais Danilo Astori, na theluthi ya mali zilizotangazwa na mrithi wa Mujica kama rais, Tabare Vasquez. Imeripotiwa kuwa chini ya mfumo wa uongozi wake huo, kiwango cha rushwa nchini Uruguay kimeshuka sana. Nchi hiyo ambayo ipo katika bara la Amerika Kusini, katika ripoti ya Transparency International’s global corruption imeripotiwa kushika nafasi ya pili kutoka mwisho katika orodha ya nchi zenye kiwango kidogo cha rushwa. Rais Mujica alichaguliwa mwaka 2009, huku miaka ya 1960 na 1970 akiwa ametumia maisha yake kama mpiganaji wa msituni kupitia kundi la kiharakati la Tupamaros. Kundi hili la kipiganaji lenye mrengo wa kushoto, awali lilianzishwa na wafanyakazi wa hali ya chini waliokuwa wakifanya kazi kwenye mashamba ya miwa na wanafunzi waliotajwa baada ya utawala uliojulikana kama Inca chini ya Mfalme Tupac Amaru. Kundi hilo lilichochewa na mapinduzi ya Cuba na lilipigana kuhakikisha serikali ya kikatiba inarejea tena mwaka 1985. Mujica alitumia nafasi kubwa kulibadili kundi la Tupamaros na kuwa chama cha kisiasa kisheria. Wakati akipigania nchi yake kabla ya kulibadili kundi hilo na kuwa chama cha kisiasa, amepata kupigwa risasi mara sita na ametumikia kifungo cha miaka 14 jela. Muda wote ambao alikuwa akishikiliwa amepitia katika mateso makali, huku akinyanyasika na kutengwa hadi pale alipoachiwa huru miaka ya 1985 wakati Uruguay iliporejea kwenye demokrasia. Maisha hayo yote ya gerezani, Mujica anasema yamemsaidia kushepu muonekano wa maisha yake. “Naitwa rais maskini zaidi, lakini sijisikii kama ni maskini. Watu maskini ni wale ambao tu hufanya kazi kwa ajili ya kuyafanya maisha yao yawe ya juu, na siku zote hutaka zaidi na zaidi. “Hili ni jambo la uhuru. Kama hutaki kuwa na mali nyingi hupaswi kufanya kazi katika maisha yako yote kama mtumwa, na hivyo unakuwa na muda mwingi kwa ajili yako. “Naweza kuonekana kichaa na mshamba. Lakini ni chaguo huru,” anasema Rais Mujica. Mtafiti wa Uruguay, Ignacio Zuasnabar anasema watu wengi nchini humo wanamuonea huruma Rais Mujica na kumuona ni mwenzao kwa sababu ya jinsi anavyoishi. Lakini anasema hilo halizuii utendaji wa serikali kukosolewa. Wapinzani wa Uruguay wanasema mwelekeo wa uchumi wa nchi haujatoa matokeo mazuri katika huduma za umma kama afya na elimu, na kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 umaarufu wa Mujica umeshuka chini ya asilimia 50. Mwaka huu pia alijikuta katika moto mkali kwa sababu ya mambo mawili ambayo yamezua mjadala mkali. Hivi karibuni, Baraza la Wawakilishi la nchini humo lilipitisha muswada ambao unaruhusu utoaji mimba wa hadi wiki 12, na tofauti na mtangulizi wake, Mujica hakupinga hilo. Badala yake aliamua kubaki shambani kwa mke wake. Mbali na hilo, pia jambo lingine ambalo limezua mjadala ni kitendo chake cha kuunga mkono mjadala wa kuruhusu matumizi ya bangi, katika muswada ambao huenda ukaipa serikali mamlaka ya kudhibiti biashara zake. “Matumizi ya bangi si jambo la kuogopesha sana, lakini jinsi ya kushughulikia suala la dawa za kulevya ni tatizo kubwa,” anasema Rais Mujica. Hata hivyo, Rais Mujica hana sababu ya kuwa na mashaka makubwa juu ya umaarufu wake kushuka kwa sababu kwa mujibu wa sheria za Uruguay, haruhusiwi kugombea tena katika kipindi cha pili mwaka 2014. Pia kwa umri wake wa miaka 77, huenda akastaafu siasa muda si mrefu. Na atakapostaafu, atakuwa anakula pensheni zake. Huyo ndiye Rais Mujica ambaye ameamua kujitofautisha kabisa na viongozi wengine duniani, ambao kwao mali ni mtaji, hulindwa kama lulu, hulelewa kama yai, huku wakitumia mamilioni ya walipa kodi kwenda kuangalia afya zao kila baada ya mwaka au miezi nje ya nchi. Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook 0 comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Total Pageviews 91789 Like our Page Facebook Mahdi Pyalali Moledina likes Kibanda cha nyumbani Kibanda cha nyumbani Create your Like Badge wageni Widget by : All Blogging Tips bbc habari Blog Archive Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
KUTANA NA RAISI MASIKINI KULIKO WOTE DUNIIANI. JOSE MUJICA WAKATI hapa nchini baadhi ya viongozi wakikataa kuweka hadharani ama kuficha mali wanazomiliki, hali ni tofauti kwa Rais wa nchi ya Uruguay, José Mujica, ambaye ameamua kuishi maisha ya kifukara sawa na wananchi wake wa kawaida. Tofauti na viongozi wetu ambao hudai nyongeza nono ya malipo yao wakati wakiwa tayari wanalipwa fedha nyingi kupita kiasi, Mujica katika zama hizi anaweza akawa ndiye rais maarufu kuliko wote duniani, akitoa asilimia 90 ya mshahara wake kwa ajili ya maendeleo ya watu wake. Mujica anaingia kwenye vitabu vya kihistoria akijenga hadhi na heshima ya kuitwa rais maskini duniani, lakini mwenye roho ya kujali. Jina lake la utani sasa ni Rais Maskini. Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Rais Mujica anasema mali kubwa anayomiliki ni gari aina ya Volkswagen Beetle, lenye thamani ya dola za Kimarekani 1,945 ambazo ni sawa na shilingi za Kitanzania milioni 3.1. Analipwa mshahara wa dola 12,500 kwa mwezi ambazo ni sawa na shilingi milioni 19.9, lakini anabaki na dola 1,250 ambazo ni sawa na shilingi milioni 1.9 kwa ajili ya mahitaji yake na kiasi kingine chote kilichobaki ambacho ni karibu sh milioni 18 hukitoa kwa ajili ya watu maskini na wajasiriamali wadogo. Mujica mwenye umri wa miaka 77 ambaye amekuwa Rais wa Uruguay tangu Machi 1, 2010 anasema; “Niko sawa kabisa na kiasi ninachobaki nacho kwa sababu kuna watu wengi wa Uruguay ambao wanaishi kwa kiwango kidogo cha pesa.” Rais huyo anaishi katika nyumba ya kawaida shambani ambayo ni ya mke wake, Lucía Topolansky, ambaye ni seneta. Pia naye anatoa sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya watu wa Uruguay. Mujica alikataa kuishi kwenye jumba la kifahari, Ikulu ambalo huishi marais akachagua kwenda kuishi shambani kwenye nyumba ya mke wake katika mji wa Montevideo. Huko barabara ni mbaya. Rais na mke wake wanafanya kazi katika shamba lao la maua. Nguo zinazoonekana zimeanikwa nje ya nyumba yao ni zile za kawaida, huku nyingine zikiwa zinaonekana kuukuu. Maji anayotumia yanatoka kwenye kisima. Hayo ndiyo makazi ya Rais Mujica, ambaye mfumo wa maisha yake yanatofautiana kabisa na viongozi wengi duniani. Rais huyo hana hata akaunti ya benki, wala deni lolote na hana lundo la walinzi. Walinzi wake ni maofisa wawili wa polisi na mbwa wake mwenye miguu mitatu ambaye anaitwa Manuela. “Nimeishi hivi karibu maisha yangu yote,” anasema, akiwa amekaa katika kiti chake kilichoko kwenye bustani, ambacho kina mto ambao mbwa wake Manuela hupenda kuulalia. “Naweza kuishi vizuri kwa kile nilichonacho,’ anaongeza Rais Mujica. Mwaka 2010, alipotangaza mali zake kama ilivyo kawaida kwa maofisa wa Uruguay kufanya hiyo, Rais Mujica alikuwa na mali yenye thamani ya dola 1,800 ambazo ni sawa na shilingi milioni 2.9, ambayo inakaribiana na thamani ya gari lake la mwaka 1987, Volkswagen Beetle. Mwaka huu aliongeza nusu ya mali za mke wake – ambazo ni shamba, matrekta na nyumba ambazo zimefikia dola 215,000 ambazo ni sawa na shilingi milioni 341.5. Kiasi hicho bado ni mbili ya tatu ya mali alizotangaza kumiliki Makamu wa Rais Danilo Astori, na theluthi ya mali zilizotangazwa na mrithi wa Mujica kama rais, Tabare Vasquez. Imeripotiwa kuwa chini ya mfumo wa uongozi wake huo, kiwango cha rushwa nchini Uruguay kimeshuka sana. Nchi hiyo ambayo ipo katika bara la Amerika Kusini, katika ripoti ya Transparency International’s global corruption imeripotiwa kushika nafasi ya pili kutoka mwisho katika orodha ya nchi zenye kiwango kidogo cha rushwa. Rais Mujica alichaguliwa mwaka 2009, huku miaka ya 1960 na 1970 akiwa ametumia maisha yake kama mpiganaji wa msituni kupitia kundi la kiharakati la Tupamaros. Kundi hili la kipiganaji lenye mrengo wa kushoto, awali lilianzishwa na wafanyakazi wa hali ya chini waliokuwa wakifanya kazi kwenye mashamba ya miwa na wanafunzi waliotajwa baada ya utawala uliojulikana kama Inca chini ya Mfalme Tupac Amaru. Kundi hilo lilichochewa na mapinduzi ya Cuba na lilipigana kuhakikisha serikali ya kikatiba inarejea tena mwaka 1985. Mujica alitumia nafasi kubwa kulibadili kundi la Tupamaros na kuwa chama cha kisiasa kisheria. Wakati akipigania nchi yake kabla ya kulibadili kundi hilo na kuwa chama cha kisiasa, amepata kupigwa risasi mara sita na ametumikia kifungo cha miaka 14 jela. Muda wote ambao alikuwa akishikiliwa amepitia katika mateso makali, huku akinyanyasika na kutengwa hadi pale alipoachiwa huru miaka ya 1985 wakati Uruguay iliporejea kwenye demokrasia. Maisha hayo yote ya gerezani, Mujica anasema yamemsaidia kushepu muonekano wa maisha yake. “Naitwa rais maskini zaidi, lakini sijisikii kama ni maskini. Watu maskini ni wale ambao tu hufanya kazi kwa ajili ya kuyafanya maisha yao yawe ya juu, na siku zote hutaka zaidi na zaidi. “Hili ni jambo la uhuru. Kama hutaki kuwa na mali nyingi hupaswi kufanya kazi katika maisha yako yote kama mtumwa, na hivyo unakuwa na muda mwingi kwa ajili yako. “Naweza kuonekana kichaa na mshamba. Lakini ni chaguo huru,” anasema Rais Mujica. Mtafiti wa Uruguay, Ignacio Zuasnabar anasema watu wengi nchini humo wanamuonea huruma Rais Mujica na kumuona ni mwenzao kwa sababu ya jinsi anavyoishi. Lakini anasema hilo halizuii utendaji wa serikali kukosolewa. Wapinzani wa Uruguay wanasema mwelekeo wa uchumi wa nchi haujatoa matokeo mazuri katika huduma za umma kama afya na elimu, na kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 umaarufu wa Mujica umeshuka chini ya asilimia 50. Mwaka huu pia alijikuta katika moto mkali kwa sababu ya mambo mawili ambayo yamezua mjadala mkali. Hivi karibuni, Baraza la Wawakilishi la nchini humo lilipitisha muswada ambao unaruhusu utoaji mimba wa hadi wiki 12, na tofauti na mtangulizi wake, Mujica hakupinga hilo. Badala yake aliamua kubaki shambani kwa mke wake. Mbali na hilo, pia jambo lingine ambalo limezua mjadala ni kitendo chake cha kuunga mkono mjadala wa kuruhusu matumizi ya bangi, katika muswada ambao huenda ukaipa serikali mamlaka ya kudhibiti biashara zake. “Matumizi ya bangi si jambo la kuogopesha sana, lakini jinsi ya kushughulikia suala la dawa za kulevya ni tatizo kubwa,” anasema Rais Mujica. Hata hivyo, Rais Mujica hana sababu ya kuwa na mashaka makubwa juu ya umaarufu wake kushuka kwa sababu kwa mujibu wa sheria za Uruguay, haruhusiwi kugombea tena katika kipindi cha pili mwaka 2014. Pia kwa umri wake wa miaka 77, huenda akastaafu siasa muda si mrefu. Na atakapostaafu, atakuwa anakula pensheni zake. Huyo ndiye Rais Mujica ambaye ameamua kujitofautisha kabisa na viongozi wengine duniani, ambao kwao mali ni mtaji, hulindwa kama lulu, hulelewa kama yai, huku wakitumia mamilioni ya walipa kodi kwenda kuangalia afya zao kila baada ya mwaka au miezi nje ya nchi. Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook 0 comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Total Pageviews 91789 Like our Page Facebook Mahdi Pyalali Moledina likes Kibanda cha nyumbani Kibanda cha nyumbani Create your Like Badge wageni Widget by : All Blogging Tips bbc habari Blog Archive Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets