Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Chemichemi Ya Habari

Sehemu ya gazeti
Baada
ya mkasa huo, Dr Azzacove alisema, “Mimi kama mkomunisti, siamini juu
ya mbingu au Biblia, lakini kama mwanasayansi, hivi sasa naamini juu ya
kuwapo kwa kuzimu. Ni kweli tuliogopa sana kutokana na ugunduzi huo.
Lakini tunajua fika kile tulichokiona na kukisikia. Tunaamini kabisa
kuwa tulitoboa tundu kwenye lango la kuzimu yenyewe!”
No comments:
Post a Comment