Pages

Friday 28 August 2015

MAAJABU YA DUNIA NCHINI JAMAICA : MOTO UNAOWAKA WENYEWE KWENYE MAJI BILA KUZIMIKA.




 

Katika nchi  Jamaica katika mji wa ST. ANN kuna chemchem ya maji  Ndani ya chemchem hiyo kuna moto ambao huwaka masaa yote,  Maelfu ya watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia humiminika katika mji huo kushuhudia maajabu hayo yanayofahamika kwa jina la FIRE WATER .

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZA KILA WAKATI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets