
Black Falcon,ambalo limeundwa na Kampuni ya DARTZ Motorz Company,ya Uchina

Sehemu ya Tangazo la Gari hilo linalotarajiwa kuanza kuuzwa katika soko la magari la Mashariki ya Kati na Arabuni mapema mwaka huu

Gari hilo Black Falcon kama linavyoonekana kwa ndani; Limetengenezwa kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya NYOKA inayosherehekewa nchini China
GARI BAYA ZAIDI KUWAHI KUTENGENEZWA DUNIANI...Ona hapo chini...
![]() |
PICHA JUU: TOYOTA BB miongoni mwa magari yanayotajwa kuwa mabaya zaidi duniani |

Miongoni mwa mengine pia limo Aston Martin Lagonda hilo hapo juu.

600-Aurora huenda likavunja rekodi,ambalo limeelezwa kufanana na mnyama Faru anaemkimbiza adui yake! baadhi ya Watoto wakiliona hili huanza kulia akiwemo mtoto wa Martin Jusper wa Uingereza anaelimiliki




iliyoundwa miaka kama 60 iliyopita lakini baada ya kutembea 40,000 Injini yake ikasambaratika kutokana na 'kuchemsha'
like page yetu kwa habari zaidi
No comments:
Post a Comment